danione
Member
- Oct 26, 2011
- 58
- 5
Kwa hio unataka tukusaidie kukumbuka apple id yako na passowrd?
Hapana Nachotaka nikutoa hiyo acount na ........
Hapana Nachotaka nikutoa hiyo acount na kuweka ingine hiyo account ni ya mtu alikuwa anatumia Nje ila aLinitumia hiyo simu tangia anitumie sijawa itumia bcz inaishia kila siku kwenye kuchaguwa lugha pamoja na kuweka Apple ID
Nilisha wai kumtumia email anitumie detels Lakini ajawai nijibu mail zaidi ya tatu
Inawezeka ila ni ghali kidogo