Iphone 4 wanted

Prisoner

Senior Member
Joined
Jan 26, 2010
Posts
119
Reaction score
0
Wana JF Heshima mbele

Naomba kama mwenye kujua nataka ninunue IPHONE 4 ya ukweli kwa Dola 700. Je anayejua? NAHITAJI HARAKA NIMEPATA KAZI MAJUU NATAKA KWENDA NAYO WAKUU
 
Wana JF Heshima mbele

Naomba kama mwenye kujua nataka ninunue IPHONE 4 ya ukweli kwa Dola 700. Je anayejua? NAHITAJI HARAKA NIMEPATA KAZI MAJUU NATAKA KWENDA NAYO WAKUU

Iphone wapo majuu marekani na hata kama waenda ulaya twategemea utapata kwa bei ya kueleweka kuliko bongo labda uwe wataka ya mazabe.
ulichoandika ni sawa na utake kununua simu ya mchina leo na kesho waelekea huko huko.
 
DU Pr. hiyo picha ulioweka kiboko inatisha na zidhani kama mtu atashawishika kukwambia kitu
 
Hii ajabu, unaenda bukoba unanunua ndizi dodoma? teh teh
 
Hii ajabu, unaenda bukoba unanunua ndizi dodoma? teh teh


Du, huu ni ukweli!!
Kama unakuja majuu basi si uje kununua hukuhuku utaipata for less than $700?
Unless majuu yenyewe ni nyanda za juu
 
Mpaka nacheka,picha zote hukuziona mpaka hii ndio ikakufurahisha na ukaona utufurahishe?Anyway lakini hawa jamaa wana agents mpaka humu,tutalia tukisikia na wewe umetobolewa macho ndg yetu mwana JF!Halafu ndio unakwenda kwao?:A S cry:
 
Majuu unaelekea nchi gani? mimi naishi majuu naweza kukuletea huko maana nakuja mwezi june. Tuwasiliane kwa PM.
Lakini kwa utafiti wa haraka haraka, huwezi kupata iPHONE 4 kwa bei hiyo aslani.
 
Majuu unaelekea nchi gani? mimi naishi majuu naweza kukuletea huko maana nakuja mwezi june. Tuwasiliane kwa PM.
Lakini kwa utafiti wa haraka haraka, huwezi kupata iPHONE 4 kwa bei hiyo aslani.

Akienda e-bay anawezapata iPhone4 16gb chini ya $700
 
ukowapi wewe ? mimi ninayo hiyokitu .reply and put your nom.
 
hapa JF hatujakuuliza hiyo cmu unataka uitumie wapi lakini tayari umeshatutangazia kama unaenda majuu. Natamani niwape pole majirani zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…