IPhone 13 camera hamna kitu

Mtu kama sio mpiga picha huwezi jua simu gani bora. Hakuna mzoefu wa picha utamwambia iPhone 13 inazidiwa na Note 8 akaelewa. Alafu picha zinapigwa na mzoefu wa simu yake, wewe hapo unayeulizwa umejuaje ni iPhone ukasema umevua cover ndio ukajua huwezi nishawishi kuwa hiyo simu unaielewa kuitumia. Ulikuwa unaishangaa tu

Tatizo la iPhone ni low light basi. Nalo linaonekana kwenye comparison ya flagships za same year
 
 
Nipeni picha za iPhone za saiviView attachment 2114648
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…