IPhone 13 camera hamna kitu

Pixel 6 kwa normal picha ni superior kulko iphone, ila kwa portrait iphone 13 pro ni zaid ya pixel, thats the fact
Pixel kwa portrait ndo ana balaa, mfano wewe chukua hiyo pixel 3 yako kalinganishe na tunda xr kisha angalia ipi bora
 
rudia kusoma nilichoandika kwanza alafu ndo uje ukoment upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wanao diss iphone... wanakua hawajawahi kuzitumia... sijui makasiriko wanatoa wapi
 
Kwa sasa hivi samsung note 8 labda inaweza kuwa sawa na iphone 6s ama bado ikaachwa
Hyo 13 labda copy za laki 3
 
iphone upande wa picha nawakubali sana camera zao yani point and shoot yani humiss kitu hicho ndio kimewaahinda samsung samsung inahitaj utulize mkono hata baada ya kupiga , kwa moving object iphon wamewaacha andeoid mbal na uzoef na hiz sim kwa sasa namilik hiz iphone 11 na note 9 naona tofaut kubwa, ukitaka ifaid sim kwa mazingira yetu better samsung ila anzia s10 + kwenda juu, ifon kama huna mambo meng itakufaa maana ina limit kibao mf kuweka tu ringtone au kudowwnload video process ndef
 
Weka picha
 
Simu ya milioni 4 na ushee!!

Wengi humu watumishi wa serikali wana tecno na infinix


Wengine wanapiga deiwaka kitaa.

Wenyewe 13 ni walio mamtoni na wadangaji waliotoa jicho moja na kupewa matatu.
Umesahau wanao uza viwanja😁 na wa mirathi
 
Hata kama sikuwepo wakati unapiga picha ila mimi nitabisha hadi karne ijayo, yaani nimeona iPhone 12 plain ya rafiki yangu mmoja hivi inatoa picha kali balaa, ukipiga picha bustani inavyotokea utasema ni Eden.
Inabidi tu ukubali hiyo iPhone ilikuwa ni fake. Huyo demu kuwa mshua haimaanishi kuwa hawezi kupigwa na kitu kizito.... OVER!
 
Kuna watu wanajua kulalamika kuwa simu fulani hakuna kamera ila kiuhalisia kumbe hawajui kupiga picha au hawawezi kutumia features zote za camera ya hiyo simu😂😂😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…