Acha zako, walioanza kutoa refresh rate kubwa kwa flagship ni oneplus 7 pro ww
Unafanya biashara na hujui simu weweMkuu hakuna iPhone yenye mega pexel zaidi ya 12.. Camera bora nado ni Google pexel na Samsung tu. Mm nafanya biaharaya simu nazielewa vzr.
Bado nasisitiza... Iphone anachowazidi hao ni video tu....Uvi unaangaliaga side by side comparison kwel ww
Hiyo Xiaomi niliyotaja hata hujui.Acha wivu kaka, apo mpinzani pekee ni pixel ila hao wote ni bure, yani unaweka adi Xiaomi
Watu wengi wanaoziponda apple hawajawah zitumia
Hii ni note8 tena kama unavoona nimepiga nikiwa ndani wala si nje. Halafu kuna mapimbi yanabishaiPhone 13 hii apa .............Kama umeamini Basi iPhone ni mazwazwa kwa hii simuView attachment 2122246
Ushawah kumiliki iphone ipiBado nasisitiza... Iphone anachowazidi hao ni video tu....
Kwenye picha hawafikii. Huwezi kunielewa.
Nishawah miliki note8 ila haina camera nzri kama unavyodhaniHii ni note8 tena kama unavoona nimepiga nikiwa ndani wala si nje. Halafu kuna mapimbi yanabishaView attachment 2123729
Wewe umewahi kumiliki hizo simu nilizokutajia hapo?Ushawah kumiliki iphone ipi
Yako sio lazima iwe kama yanguNishawah miliki note8 ila haina camera nzri kama unavyodhani
Wewe umewahi kumiliki hizo simu nilizokutajia hapo?
After all huenda nabishana na mtu ambaye hajui quality ya picha unaangalia vitu gani.
Nilkuwa nayo nikaibiwa, ila sikuipenda, sio tam kutumia na kamera ni midiocre, ata details haina, nivyoibiwa nikanunua pixel 3Yako sio lazima iwe kama yangu
Weka pucha hapa saiviNilkuwa nayo nikaibiwa, ila sikuipenda, sio tam kutumia na kamera ni midiocre, ata details haina, nivyoibiwa nikanunua pixel 3
Nishawah miliki s6,s8,s9 na note8 kwa pamoja, baadae pixel 3 sahv nataka niingie pixel7 au 6pro kama ikishindikana, ila ndugu zangu ni wazee wa iphones, mi sizipend maana hazian uhuru na hazitaki mambo ya kujidownloadia movies ovyo na apps za kimageuzi,Wewe umewahi kumiliki hizo simu nilizokutajia hapo?
After all huenda nabishana na mtu ambaye hajui quality ya picha unaangalia vitu gani.
Unataka details gani hapo?Nilkuwa nayo nikaibiwa, ila sikuipenda, sio tam kutumia na kamera ni midiocre, ata details haina, nivyoibiwa nikanunua pixel 3
Picha ya nnWeka pucha hapa saivi
We elewa tu huwez kusimama mbele ya watu wenye cm camera nzr na we wa note8 ukasimamaUnataka details gani hapo?View attachment 2123971View attachment 2123972
Pixel 6 kwa normal picha ni superior kulko iphone, ila kwa portrait iphone 13 pro ni zaid ya pixel, thats the fact