Ipende Nchi Yako, Mpende Rais wa JMT, Ipende Serikali na Mungu wa mbinguni atakubariki!

Jifunze pia,

Huwezi kupendwa Kwa kusigina Katiba na kujikita katika mipango ovu ya RUSHWA na wizi wa kura.

Nakukumbusha pia kuwa 2024 & 2025 Tumewaalika Malaika wenye panga zikatazo kuwili kuhakikisha Sanduku la kura halitiwi nahisi.
Kuna tofauti Kati ya Kuiba kura na Kuhamisha kura

Nakuombea kwa Mungu wa mbinguni ulielewe hili
 
Mwl. Nyerere aliwahi kusema Ikulu ni mahali patakatifu .Lakini hakuna mtakatifu kwa hii Ccm ya sasa .Ccm inaingia Ikulu kwa wizi wa kura , wanawadanganya wananchi , wanafanya ufisadi wa kutisha . Haya mambo yanainajisi nchi na nchi inalaanika ndo maana nchi sasa inaanza kupigwa na majanga ya asili .
Ikulu kwa Nchi zinazoongozwa kidini kama Zanzibar, Iran, Vatican nk Ndio mahali Patakatifu

Kwa Nchi za kidemokrasia kama Tanzania, Marekani, Uganda nk Ikulu ni mahali patukufu
 
Kuna tofauti Kati ya Kuiba kura na Kuhamisha kura

Nakuombea kwa Mungu wa mbinguni ulielewe hili
Umeanza maneno yako ya sayansi ya siasa,
Kama hawaibi, huzihamisha hizo kura kuzipeleka wapi?
Wazihamisha kwa utaratibu upi, sheria za uchaguzi zinaruhusu,
 
Ili asipotoke ilitakiwa afanyeje
Msingi wa viongozi wa kisiasa unatoka kwa wananchi . Kiongozi mbinafsi unapo anza kuwaibia kodi zao hao waliokuchagua , husikilizi maoni yao ; Mungu hawezi kuwa upande wako . Simamieni haki , wadhibitini wabadhirifu wa mali za umma , wasikilizeni wananchi . Sauti ya watu ni sauti ya Mungu . Hii sio nchi inayofuata taratibu za kifalme kumuweka kiongozi wa kisiasa . Sauti ya watu ndio inayo amua .
 
Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana

Nawatakia Dominica Njema 😄

Huu ujumbe unapaswa uelekezwe kwa viongozi wote kuanzia Rais, mawaziri, wabunge, wakuu wa wizara na sekta zote za serikali kuu na mitaa...

Hao ndio Watanzania namba moja, hao ndio wanapaswa kuwa kielelezo cha upendo kwa nchi yao, upendo ambao kwa jina jingine unaitwa Uzalendo...

Hao wakifanya mambo ya kizalendo kwa 100%, hakika wananchi wote tunaoongozwa na wazalendo nao tutaiga toka kwao...
 
Msingi wa viongozi wa kisiasa unatoka kwa wananchi . Kiongozi mbinafsi unapo anza kuwaibia kodi zao hao waliokuchagua , husikilizi maoni yao ; Mungu hawezi kuwa upande wako . Simamieni haki , wadhibitini wabadhirifu wa mali za umma , wasikilizeni wananchi . Sauti ya watu ni sauti ya Mungu . Hii sio nchi inayofuata taratibu za kifalme kumuweka kiongozi wa kisiasa . Sauti ya watu ndio inayo amua .
Sauti ya Watu Ndio Mungu mwenyewe wa mbinguni

Ubarikiwe!
 
Huu ujumbe unapaswa uelekezwe kwa viongozi wote kuanzia Rais, mawaziri, wabunge, wakuu wa wizara na sekta zote za serikali kuu na mitaa...

Hao ndio Watanzania namba moja, hao ndio wanapaswa kuwa kielelezo cha upendo kwa nchi yao, upendo ambao kwa jina jingine unaitwa Uzalendo...

Hao wakifanya mambo ya kizalendo kwa 100%, hakika wananchi wote wanaoongizwa na wazalendo nao wataiga mfano huo...
Fact, mleta mada asome na arudie kusoma. Huwezi kuhubiri uzalendo, yet wewe ni mwizi, fisadi nk.
 
Huu ujumbe unapaswa uelekezwe kwa viongozi wote kuanzia Rais, mawaziri, wabunge, wakuu wa wizara na sekta zote za serikali kuu na mitaa...

Hao ndio Watanzania namba moja, hao ndio wanapaswa kuwa kielelezo cha upendo kwa nchi yao, upendo ambao kwa jina jingine unaitwa Uzalendo...

Hao wakifanya mambo ya kizalendo kwa 100%, hakika wananchi wote wanaoongizwa na wazalendo nao wataiga mfano huo...
Ujumbe huu ni kwa Watanzania Wote ambao Mungu wa mbinguni amewamilikisha kipande hiki Cha Ardhi yake
 
Back
Top Bottom