johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,460
- 147,189
- Thread starter
- #41
Kuna tofauti Kati ya Kuiba kura na Kuhamisha kuraJifunze pia,
Huwezi kupendwa Kwa kusigina Katiba na kujikita katika mipango ovu ya RUSHWA na wizi wa kura.
Nakukumbusha pia kuwa 2024 & 2025 Tumewaalika Malaika wenye panga zikatazo kuwili kuhakikisha Sanduku la kura halitiwi nahisi.
Nakuombea kwa Mungu wa mbinguni ulielewe hili