johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,107
- 142,202
Huu ndio Ujumbe muhimu Kutoka kwa Askofu mkuu mstaafu wa Anglikana baba Mtetemela alipohubiri leo pale KKKT Kimara kwa mchungaji Matsahi
" Waogopeni Watu wanaopenda kukaa mbavuni mwa viongozi na Kusifiasifia"
Mungu wa mbinguni awabariki
Nawatakia Dominica Njema 😄
" Waogopeni Watu wanaopenda kukaa mbavuni mwa viongozi na Kusifiasifia"
Mungu wa mbinguni awabariki
Nawatakia Dominica Njema 😄