Ipe title mwenyewe

Kibwebwe

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
826
Reaction score
265
Kijana Mmoja alifungwa jela miaka 7, baada ya miaka miwili 2 baba yake alimwandikia barua,
'MWANANGU MPENDWA UMENIACHA KATIKA HALI YA UMASIKINI NA MARADHI YANASUMBUA NATAMANI HATA UNGEKUEPO UNISAIDIE KULIMA SHAMBA'.

Mtoto akamjibu
'baba Usijaribu kulima Hilo Shamba Hata Kidogo Sababu Zile Pesa Nilizo Ziiba (billion) nimezificha Huko Shambani,'

Basi Kama Ujuavyo Askari Huwa Wanasoma Barua Inayoingia Na Kutoka, Na wanavyopenda hela Kesho Yake Mzee Anaamka Asubuhi Anakuta Askari Kama 100 Hivi Wamelima Shamba Loote Na Hawajakuta Hata Kumi,

Kijana akamwandikia baba barua,
'NATUMAINI MSAADA WANGU UMEUFURAHIA VYEMA, ENDELEA KUPANDA MAHINDI.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…