Ipe ofisi au nyumba yako na panel za ndani

Ipe ofisi au nyumba yako na panel za ndani

Panel hzo design kama 11 tofaut karibuni ofisini kwetu tabata q
20210811_191219.jpg
 
Jipatie panel design nzur zenye kupendezesha nyumba nakuvutia
Hizi zanasaidia pia kwenye nyumba zenye unyevu unyevu kupunguza na kupoteza fangasi ya ukuta
Square metre moja 35,000
Ufundi square metre 5000

Call 0713459777 tukuhudumie
IMG_20210902_190257_188.jpg
20210902_173420.jpg
IMG_20210902_190206_013.jpg
IMG_20210902_190123_367.jpg
 
Napenda sana vitu adimu vya kisasa, nipe uimara wa hii material kama vile una watoto. Hizi unabandika baada ya hatua ya plaster au?.. kama kuna kuepuka skimming, rangi naweza kutumia hii njia kwa nyumba nzima. Bajeti ya 20m inapendeza
 
Napenda sana vitu adimu vya kisasa, nipe uimara wa hii material kama vile una watoto. Hizi unabandika baada ya hatua ya plaster au?.. kama kuna kuepuka skimming, rangi naweza kutumia hii njia kwa nyumba nzima. Bajeti ya 20m inapendeza
Ni ngumu na ni imara na pia inafaa kwa mazingira ya ndani ...kwa hatua ya nyumba inabid iwe na plaster tu kazi inafanyika...karibu sana
 
Ni ngumu na ni imara na pia inafaa kwa mazingira ya ndani ...kwa hatua ya nyumba inabid iwe na plaster tu kazi inafanyika...karibu sana
Nimesubscribe, endeleza uzi kwa updates usiukimbie tafadhali au kuanzisha uzi mpya. Naendelea kujifunza na kubadili plan ya awali bila shaka tutafanya kazi.
Kuwa mkweli kama unapewa kazi basi ifanye wewe maana mafundi wa dar ni madalali fundi wanatuharibia sana kazi
 
Nimesubscribe, endeleza uzi kwa updates usiukimbie tafadhali au kuanzisha uzi mpya. Naendelea kujifunza na kubadili plan ya awali bila shaka tutafanya kazi.
Kuwa mkweli kama unapewa kazi basi ifanye wewe maana mafundi wa dar ni madalali fundi wanatuharibia sana kazi
Usijali mkuu karibu sana tuko pamoja
 
Kazi zetu mishe zetu tupigie sasa au whatsap 0713459777
IMG-20210804-WA0009.jpg
IMG_20210830_155545_375.jpg
IMG_20210830_155701_576.jpg
IMG_20210830_114727_008.jpg
IMG_20210830_155621_077.jpg
 
Back
Top Bottom