Hahaha usijali karibu sanaa tegemea kitu kizuri kutoka kwetuYaani KAZI ni nzuri mno mno. Big up. Ila iwe ni wewe mwenyewe usije ukawa dalali!!! Lazima ututhibitishie hilo maana DSM tunawajua.
Zina 50cm x 50cmPanel zinaukubwa gani na material yake ni nn
No ni panels
Ni panels of which materials pleaseMany thanks. Material gani hiyo?
Ni inatumia unga wa supa sinaNi panels of which materials please
Ni inatumia unga wa supa sina
Hizi panel zinatumia unga unaoitwa supa sina ni unga mgumu unaotumiwa hata mahospitali kwa ajili ya ogoKibabrown una kazi nzuri, Ila unafeli kwenye Maelezo.
Wengi tumeielewa kazi , changamoto inakuja ,hatuna Taarifa za kutosha.
mfano nikipaka haichafuki?, Materila yake ni nini , Unga , Paper , Udongo ,wewe umekalia supa sina.(Tuelezee ni nini)
unasema 50cmX 50Cm hapa pia unatuchanganya.
hebu tudadavulie nikupe kazi.
Kwa hiyo ni some sort of gypsum?Hizi panel zinatumia unga unaoitwa supa sina ni unga mgumu unaotumiwa hata mahospitali kwa ajili ya ogo
Ni nzuri na imara karibuni ma boss zangu
Vipi zikilowa maji?Kwa hiyo ni some sort of gypsum?
Yes bossKwa hiyo ni some sort of gypsum?
Maji vipi?Yes boss
Haina shida kabsa ...maana ni nzur pia kwa kuta zenye fangasMaji vipi?
Shukrani sanaaHongera... mfumo mzuri wa kisasa...
Ntakutangazia vyemaShukrani sanaa
Asante kwa kuwa baloz wa hiar kwetuNtakutangazia vyema