Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
Bahati yao leo nipo kwenye fungal.Mambo mengine ni kutafutiana lawama tu.
Hoja: Ipe maneno picha,Kwahiyo wewe ni nyau au pusii?
Duh! Wallah huu ni mtego wanataka waninase kirahisi. Thsubuutu!.
Huu nao ni ukatili, si ungefunika jamani🙆♂️
😆😆Ukienda kwa mjomba na kukutana na mabinamu
Wanyonge wana kitu cha kujifunza kwenye hii picha. Tulipowaambia nyumba yoyote ile ili iwe na usalama makini, inahitaji mifumo imara ya ulinzi! Wakapinga! Kisa kuna mtu yuko pembeni analinda hizo nyama, halafu ni mkali kiasi cha paka kuogopa kudokoa pamoja na njaa kali na uroho uliopitiliza!