leipzig JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 2,766 Reaction score 1,714 Sep 19, 2015 #1 Akiwa katika foleni ya kupiga kura mtaani kwake Msasani. Attachments 1442634046290.jpg 63.7 KB · Views: 726
kuduman201036 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 4,058 Reaction score 2,182 Sep 19, 2015 #3 mzalendo halisi
Ryaro wa Ryaro JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 2,659 Reaction score 1,430 Sep 19, 2015 #4 Je Lordlofa Anaweza Kujipanga mstari Hivyo ?????
waziri chengula Member Joined Sep 15, 2015 Posts 57 Reaction score 31 Sep 19, 2015 #5 viongoz wa sasa kupanga folen.thubutu..!!
PJ JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 297 Reaction score 32 Sep 19, 2015 #6 Hii ndio sera yetu ya haki sawa kwa wote
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Sep 20, 2015 #7 Miaka hiyo kiongozi anakuwa wa mfano. Sio leo hii.