M Mwizukulu wa Buganda JF-Expert Member Joined Nov 19, 2024 Posts 639 Reaction score 1,772 Sep 15, 2025 #1 ----- Mimi naanza Naitwa Mwizukulu wa Buganda, Natokea Mbarara Uganda, ni mfanyabiashara wa Kahawa na Sijaoa. Natoa milioni 50 kama mchango wa kanisa.
----- Mimi naanza Naitwa Mwizukulu wa Buganda, Natokea Mbarara Uganda, ni mfanyabiashara wa Kahawa na Sijaoa. Natoa milioni 50 kama mchango wa kanisa.
T Tumwesige senior JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 5,863 Reaction score 10,348 Sep 15, 2025 #2 Wameachama kama vile ndo wanafikishwa kilimanjaro
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,193 Reaction score 126,937 Sep 15, 2025 #3 Picha ikiionyesha wadada wakiwa na mshangao wa jambo fulani
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,086 Reaction score 102,566 Sep 15, 2025 #4 Ni mshangao baada ya kuambiwa kua, "Nyie wote hakuna mwenye sifa ya kuajiriwa kwenye hii taasisi, Wote mmefeli kwenye interview!
Ni mshangao baada ya kuambiwa kua, "Nyie wote hakuna mwenye sifa ya kuajiriwa kwenye hii taasisi, Wote mmefeli kwenye interview!
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,193 Reaction score 126,937 Sep 15, 2025 #5 The Icebreaker said: Ni mshangao baada ya kuambiwa kua, "Nyie wote hakuna mwenye sifa ya kuajiriwa kwenye hii taasisi, Wote mmefeli kwenye interview! Click to expand... Halafu picha inaonyesha wadada wengi ila katika sura moja
The Icebreaker said: Ni mshangao baada ya kuambiwa kua, "Nyie wote hakuna mwenye sifa ya kuajiriwa kwenye hii taasisi, Wote mmefeli kwenye interview! Click to expand... Halafu picha inaonyesha wadada wengi ila katika sura moja
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,086 Reaction score 102,566 Sep 15, 2025 #6 min -me said: Halafu picha inaonyesha wadada wengi ila katika sura moja Click to expand... Picha za AI hizo bwashee.
min -me said: Halafu picha inaonyesha wadada wengi ila katika sura moja Click to expand... Picha za AI hizo bwashee.
Pyaar JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 17,212 Reaction score 80,120 Sep 15, 2025 #7 “Nasikitika kuwatangazia kuwa signatory wa kikundi chenu amepata ajali akiwa njiani kuja. Hivyo zoezi la pesa kwa leo limeahirishwa.”
“Nasikitika kuwatangazia kuwa signatory wa kikundi chenu amepata ajali akiwa njiani kuja. Hivyo zoezi la pesa kwa leo limeahirishwa.”
GwaB JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 5,063 Reaction score 6,762 Sep 15, 2025 #8 Sura ya msichana mmoja wa kiganda au kihaya imevishwa kwenye viwiliwili vya wasichana wengine tofauti.
Sura ya msichana mmoja wa kiganda au kihaya imevishwa kwenye viwiliwili vya wasichana wengine tofauti.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,780 Reaction score 184,643 Nov 9, 2025 #9 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw