Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Nataka iPad ya kununua au tablet za samsung
Nataka iPad ya kununua au tablet za samsung
iPad ipi? 1,2, 3 au mini? Capacity? 16bg? 32gb? 64gb? Samsung Galaxy Tab ipi? Maana kuna zingine kama p1000 za zamani sana, au Samsung Galaxy Note 10.1?
Used au new ???wifi au 3g ??leta ripoti mkuu..3g 16gb used $410 na mpya 3g 16gb ni $660 kama upo interested tuwasiliane