Ipad Air Inauzwa

Dodo18

JF-Expert Member
Feb 26, 2011
315
93
Habari wana Jamii. Kama tangazo linavyosema nauza IPad yangu aina ya Apple Ipad Air 1, ni
16 GB na
inaruhusu line yoyote na ni
4G na Camera iko vizuri sana. Aliekuwa interested tuwasiliane kwenye namba hiyo hapo 0659748777. Bei yake ni 300,00 au laki tatu.
IMG-20181120-WA0009.jpg
IMG-20181120-WA0008.jpg
IMG-20181120-WA0004.jpg
IMG-20181120-WA0005.jpg
IMG-20181120-WA0007.jpg
 
1. icloud address ni ya nani? Na Je una password zake ili niweke zangu?
2. Imetumika kwa muda gani?
3. Je ni yako mwenyewe?
4. Inakasoro gani?
5. Ina michubuko yoyote kwenye kioo (original kioo sio protector)

Jibu maswali hayo alafu uje haraka tufanye biashara nataka kuitumia kwa kazi za injili.
utani Tag nije haraka...
 
1. icloud address ni ya nani? Na Je una password zake ili niweke zangu?
2. Imetumika kwa muda gani?
3. Je ni yako mwenyewe?
4. Inakasoro gani?
5. Ina michubuko yoyote kwenye kioo (original kioo sio protector)

Jibu maswali hayo alafu uje haraka tufanye biashara nataka kuitumia kwa kazi za injili.
utani Tag nije haraka...
Akikujib nitag
 
1. icloud address ni ya nani? Na Je una password zake ili niweke zangu?
2. Imetumika kwa muda gani?
3. Je ni yako mwenyewe?
4. Inakasoro gani?
5. Ina michubuko yoyote kwenye kioo (original kioo sio protector)

Jibu maswali hayo alafu uje haraka tufanye biashara nataka kuitumia kwa kazi za injili.
utani Tag nije haraka...
Nami nasubiri majibu,usawa huu utoe laki3 afu kitu siku mbili kimezima hatari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom