ip address zinazo sapoti PROXY

ip address zinazo sapoti PROXY

msiwe waoga jamani leteni maujanja ili watu ambao hatuna uwezo wa kununua bando tufaidi...!!!
 
JF ndio kiboko yao
JF ndio darasa
JF ndio dimbani

mwaga mautundu usiogope....
 
ukisahau password kuna option ya kurecover password, unaweza muandikia invisible kurest password yako via email kwa nini hukufanya hivyo?
jamani mbona unamaswali mengi kwani ww ni polisi....!!!!

aaahhh. kwanza kavunja sheria , halafu anatoa jeuri. hebu mkuu mshugulikie huyu.....:frown:
 
aaahhh. kwanza kavunja sheria , halafu anatoa jeuri. hebu mkuu mshugulikie huyu.....:frown:

nimemwambia sigombani nae Paje calm down.
 
Last edited by a moderator:
kweli wewe KJ
Man hivi wewe Umepitia kwa Mpande(MTS) ?
Maana hilo neno linanikumbusha mbali kweli...Kuna Ticha tulikuwa tunamuita KJ mwenyewe akawa anadhani tunamaanisha Kamanda wa Jeshi basi wacha ajitape "Mimi ndiyo KJ Bwana" kumbe wenzie tulikuwa tunamuita Kubwa Jinga ila kwa kuua soo ndo tukawa tunafupisha kuwa KJ teh teh teeeh
 
Back
Top Bottom