gmail mkulima
Senior Member
- Jun 11, 2017
- 186
- 114
Wakuu kwema, nimekaa nikawaza nikaona maisha hayatabiriki na biashara kipindi hiki zimekua kufanikiwa ni zaidi ya kupanda mlima everest, baada ya kutafakari nimeona niuze baadhi ya Mali zangu niwasomeshe watoto wangu kwenye shule zenye ubora ili hata mwenyezi mungu akinichukua watoto wangu wawe na uelewa.
Nimeona haina maana yoyote kuwa ploti na nyumba unapangisha wakati elimu ya watoto wangu inadai.
Mwenye wazo tofauti anisaidie.
Nimeona haina maana yoyote kuwa ploti na nyumba unapangisha wakati elimu ya watoto wangu inadai.
Mwenye wazo tofauti anisaidie.