carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 266
Unamaanisha mtoto wa Huyu Mbunge: Rita Louise Mlaki - Wikipedia, kamusi elezo huru au? Anaitwa Moureen Mlaki Julius. Aliitwa hadi kwenye amplitude test pspf. Ila kielimu yuko njema, si amesoma Moi Univ Master of Banking & Finance, grad wa 2012.
Ebu tufunulie zaidi mkuu.
Yes..ni kijana mdogo hivi mwembamba..jina ntaliweka hapa nikikumbuka..kwa ufupi kilichotokea ni hivi....Jana pale Msimbazi center baada ya zengwe walokutana nalo wenzetu waloambiwa majina yao hayaonekani, interview iliendelea na baada ya hapo tukaelekezwa majibu ya watakaoitwa kwenye oral interview yatabandikwa kwenye saa kumi na moja jioni jana ile ile..sasa basi kweli namba zilibandikwa maana majina hayakutumika..now i understand why...wakasema wafuatao waje kufanya oral interview pale TPDC mikocheni kesho saa tatu asubuhi (yani leo) na walikuwa wengi tu. Cha ajabu leo watu tumeamkia pale tukiwa bado tunashangaa maana ni pale brajec..kajamaa kakatokea kamevalia suti safi kabisa na briefcase tena katokea ndani ya mjengo na sio magetini walikopita wengine..kwa ufupi kila mtu akawa attention..maana hakuonekana kama mwenzetu..mara akaitwa kule ndani alikotokea..wewe ndo umekuja na taxi? unaitwa...akaenda huko ndani..baada ya muda zengwe likaanza..panel walikuwa washakaa (changa la macho) kisha watu wakaanza kuuliza what now..mbona muda unayoyoma..kwenda kumuuliza receptionist aliyekuwa anafanya registration..ikaonekana wote waliokuwa wamefika pale hakuna hata mmoja anayetakiwa kuingia interview...isipokuwa kale kajamaa tu...akaja huyo mmoja wa panelist akasema wamepigia watu 3 tu simu ambao ndo wanatakiwa kufanya oral interview..cha kusikitisha jana hawakusema watapiga simu bali watabandika majina na kweli walibandika na kuwaita watu waje mikocheni...cha ajabu zaid hadi saa tatu na nusu ni mmoja tu kati ya watu watatu waliopigiwa simu according to panelist ambaye ndo huyo kajamaa ambaye alikuwepo..ndo kusema hao wengine wawili walikuwa hawaitaki hiyo kazi hadi wasije?