Video ipo tayariLeta hy video acha taarabu
Wameweka ujumbe si wake.Katika media editing si tatizo. Kwa mfano interview inaweza kuwa ndefu sana ikafanyiwa editing i fit kwenye muda wa kipindi.
Sasa tueleze kilichoharibiwa ni nini katika hiyo editing?
Wameweka maneno si yake? Wameweka maneno yake nje ya muktadha?
Editing imeharibu nini? Kile ambacho hakijafanyiwa editing ni kipi na kina tofauti gani na kilichokuwa edited?