Relax mkuu. Ingawa hujasema ni ubalozi wa wapi, nahisi itakuwa USA. Kama ndo hivyo, basi maswali yao siyo issue sana na ni mepesi kama kula biscuits. kwa mfano, utaulizwa-;
- umesomea wapi?
- unafanya kazi gani?
- ukifika USA utakaa jimbo gani? county, street etc
- utafikia kwa nani or nani mwenyeji wako?
- una mahusiano gani na wenyeji wako? etc
Ingawa unaweza ulizwa issue nyingine depends with how your profile read about. jiandae lugha vizuri, simaanishi hujui kimombo but kujiweka fit kwa ajili ya kutiririka. be calm, be confident and be honest...utafaulu interview yao. pia, usisahau vielelezo vyote, eg ID, Barua ya kazi huko unakofanyia(if applicable) etc. showing evidence, inakuongezea credit pale inapobidi. dress code inahusika sana.