Habari wadau, naomba mwongozo kwa wale wazoefu wanaobahatika mara kwa mara kufunya interview za Utumishi, Jumamosi nina Interview - written ila sijawahi kubahatika kufanya aina hiyo ya interview , Je huwa format yao ipo vipi , ni maswali ya kujieleza ama ni kuchagua jibu sahihi? mimi nipo mchepuo wa Uhandisi ujenzi. Natanguliza Shukrani..!