Emeka Onono
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 114
- 15
haswb Ngoswe,naona anataka kunizimisha roho huyu,looh! Lakin matumain yanapotea muda unavyozid kwenda,ebu lulungeni tuhabarishe tunakusubiriMkuu mbona unakatisha watu tamaa sana! Ina maana wameianza kuita katka college zote au Una maana gani? Kama una habari za uhakika ni vema uziweke hadharani kuliko kuturusha roho namna hii. We unataka Mbufu akija kusoma hii comment yako azimie au una maana gani? Sisi tumeomba job bana na bado tuna imani tutaitwa unless wawe na watu wao kabisaaa vinginevyo lazima kieleweke!