Habari wakuu,
Hii iliyonitokea ni kiboko, leo ndo nmepata barua ya kuitwa interview SUMATRA iliyofanyika tarehe 11/12/2014 pale Ardhi University. Najiuliza inamaana jamaa kupiga simu walishindwa au hata kuweka kwenye website ?
Dah haya bwana ndo ishanipita hivo.