Interview SUMATRA

kiwiko

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
1,341
Reaction score
2,218
Habari wakuu,

Hii iliyonitokea ni kiboko, leo ndo nmepata barua ya kuitwa interview SUMATRA iliyofanyika tarehe 11/12/2014 pale Ardhi University. Najiuliza inamaana jamaa kupiga simu walishindwa au hata kuweka kwenye website ?

Dah haya bwana ndo ishanipita hivo.
 
Pole ndugu,but mambo ya kutumiwa barua siku hizi yamepitwa na wakati,bora hata wangekuemail,dah ndo basi tena.
 
Hahahahaha... yan inachekesha xna duh mkuu pole xna ndo tz iyo kaza buti
 

Nenda na barua yako kwa mkurugenzi wa utumishi.utapangiwa siku yako ya interview maana walofanya majibu bado.wahi kama uko dar.
 
Nenda na barua yako kwa mkurugenzi wa utumishi.utapangiwa siku yako ya interview maana walofanya majibu bado.wahi kama uko dar.

Sidhani sababu hawa jamaa kazi zao hazipitii utumishi.
 
Asanteni wakuu inauma ila inabidi tu ukubali matokeo.
 
Nenda ofisi.za kwa kaka suma kaelezee vizuri watakusikiliza
 
Simukwao anasa mpwa nunuaredio call
 
Kumbe wametuma barua hata me pia sijapata hiyo barua yao ina maana wameshindwa hata kutuma msg hawa jamaa hawapo serious kbs yan wanazingua sana au ndio vile aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa ila poa tu
 
Ujinga mtupu...hata msg au email...sa wanatakaga cm na email za nn? ..kweli hii ni tanzania zaidi ya uijuavyo
 

Kati ya mashirika yanayoongoza kwa nepotism kwenye ajira Sumatra wapi kwenye tatu bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…