kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,341
- 2,218
Habari wakuu,
Hii iliyonitokea ni kiboko, leo ndo nmepata barua ya kuitwa interview SUMATRA iliyofanyika tarehe 11/12/2014 pale Ardhi University. Najiuliza inamaana jamaa kupiga simu walishindwa au hata kuweka kwenye website ?
Dah haya bwana ndo ishanipita hivo.
Hii iliyonitokea ni kiboko, leo ndo nmepata barua ya kuitwa interview SUMATRA iliyofanyika tarehe 11/12/2014 pale Ardhi University. Najiuliza inamaana jamaa kupiga simu walishindwa au hata kuweka kwenye website ?
Dah haya bwana ndo ishanipita hivo.