Habari wana jf, naombeni msaada wenu, mimi ni mmojawapo ya walioitwa kwa ajali ya aptitude test pspf, japo jina langu limejirudia kama mara 3 alafu adress tofauti naendelea kujipa moyo,
naomba anaejua a.test zao zinakuwaje naomba anijuze tafadhali, kwani ni mara ya kwanza kufanya a.test.UNAWEZA KUNI PM
naomba anaejua a.test zao zinakuwaje naomba anijuze tafadhali, kwani ni mara ya kwanza kufanya a.test.UNAWEZA KUNI PM