maria kelly
Member
- Aug 6, 2015
- 14
- 2
Busy jaman kaz za watu zinabana
Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?Jaman kwa waliopigiwa PPF position ya contributions trainee tujulishane wanataka nn hasa ...operations trainee hatujapigiw bado
Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?
Assessment bado inaendelea baada ya oral interview ....Jana walifanyiwa assessment watu wa contributions ndo nkauliza wameuliza nn?Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?
Majuzi nili comment hapa nikaonekana nina bias but i swear LAPF utaratibu wao mzuri sana hata kama kuna watu wao its oky ila wanajua wanacho kifanya then PPF nilikata tamaa mimi kabisa pale elimu ya watu wazima the way hata mtihani wao ulivyo andaliwa
LAPF wako vizuri sana ndio maana hata watu wanaoajiriwa nao wako vizuri kichwani
Hv mitihan yao ipoje kwan nami wamenitumia sms ya interview tarehe tano...kwa nafas ya liaison operation trainee..naomba mnijuze wakuu kwan hata sielewi chochote[/QUOTE
Mkuu samahani, interview ya Mara ya kwanza hukufanya kabisa?? Na je ulituma maombi lini hiyo maana wale waliomba Mara ya kwa nilisikia bado wanafanyiwa assessment am a??
Yah ni kweli kaka PPF wanaita laison operation trainee pale elimu ya watu wazima tarehe 5/9/2015 mimi pia nimeona email na sms yao ila sijui kama itakua wamejirekebisha tabia ya setup ya mitihani yao!
Setup yao ikoje mkuu!?
Aisee paper zao cjui zinapima uelewa au nn zinakua tight kiac but cjajua hii mtakayofanya itakuaje.....ukipita hapo oral inakua poa sana nilifanya ya operations trainee for zonal
Mbona watu washaanza kazi kuna jamaa yangu kapangiwa arusha