Interview PPF

Jaman kwa waliopigiwa PPF position ya contributions trainee tujulishane wanataka nn hasa ...operations trainee hatujapigiw bado
Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?
 
Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?

Me sijamuelewa kwa kweli ina maana kuna watu wa contribution wameitwa jana ama? Maana oral ilishafanyika!
 
Upigiwe simu ya nin wakat unaambiwa watu walishafanya Oral tangu trhe 10/07.......nin sasa unahitaji kujua zaidi????unaulizia kupigiwa sim ya kuitwa kazin?
Assessment bado inaendelea baada ya oral interview ....Jana walifanyiwa assessment watu wa contributions ndo nkauliza wameuliza nn?
 

LAPF wako vizuri sana ndio maana hata watu wanaoajiriwa nao wako vizuri kichwani
 
Hv mitihan yao ipoje kwan nami wamenitumia sms ya interview tarehe tano...kwa nafas ya liaison operation trainee..naomba mnijuze wakuu kwan hata sielewi chochote
 
 
Yah ni kweli kaka PPF wanaita laison operation trainee pale elimu ya watu wazima tarehe 5/9/2015 mimi pia nimeona email na sms yao ila sijui kama itakua wamejirekebisha tabia ya setup ya mitihani yao!
 
Yah ni kweli kaka PPF wanaita laison operation trainee pale elimu ya watu wazima tarehe 5/9/2015 mimi pia nimeona email na sms yao ila sijui kama itakua wamejirekebisha tabia ya setup ya mitihani yao!

Setup yao ikoje mkuu!?
 
wakuu jamaa wamechukua watu wachache tu na wameamua ku shortlist upya wale walioachwa. kila la heri mlioitwa
 
Dudud Coke unashauri nasie wa mikoani tujongee kwny interview au tunapoteza vijisenti vyetu?
 
Aisee paper zao cjui zinapima uelewa au nn zinakua tight kiac but cjajua hii mtakayofanya itakuaje.....ukipita hapo oral inakua poa sana nilifanya ya operations trainee for zonal

Asante sana, na vp maswal yanakuwa yanahusu ppf yenyewe au ni mchanganyiko tu.?
 
Mbona watu washaanza kazi kuna jamaa yangu kapangiwa arusha
 
mm niliomba nafasi y operation trainee for zone ila sikuitwa sasahivi nimeitwa nafasi y laison operation trainee so hii nafasi haikutangazwa ila wanechukua wale walioachwa awali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…