Hivi hawa PPF ndo wameacha hata kutujibu kama hatukupita mchujo wa pili (Uliokua wa hivyo)? Maana interview ya kwanza watu waliitwa, ya pili wakaitwa na ambao hawakuitwa waliambiwa pia. This time imekuaje tena? Tayari wameshaita watu?
Kaka una roho ngumu yani bado unao tu hao jamaa mimi sina hamu nao kabisa tangu nitoke pale the institute of adult education ila last week nliskia kuna tetesi kua wanaita watu for oral interview!
Interview haindeshwi kwa utaratibu kama ule ppf...hata mamluki anazama anajifanyia pepa anasepa,hakukuwa hata na list za majina za kusaini,tuliandika majina badala ya kupewa namba simple kumpendelea mtu wamtakaye.
Majuzi nili comment hapa nikaonekana nina bias but i swear LAPF utaratibu wao mzuri sana hata kama kuna watu wao its oky ila wanajua wanacho kifanya then PPF nilikata tamaa mimi kabisa pale elimu ya watu wazima the way hata mtihani wao ulivyo andaliwa
Bado hawajaita interview ya kwanza ilikua 6/6 ya pili ilikua 27/6 pale maktaba na ya tatu ilikua 10/7 sasa watu wameripoti lini acha mambo yako bana walisema after two weeks baada ya oral interview na bado