yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,659
- 3,705
Salama wakuu hivi kazi za mwisho zilizotangazwa na PPF bado hawaita watu interview? mwenye taarifa anisaidie tafadhali.
Salama wakuu hivi kazi za mwisho zilizotangazwa na PPF bado hawaita watu interview? mwenye taarifa anisaidie tafadhali.
Duh!Tukiita utasikia tu maana mtakuwa wengi sana.
Duh!Tukiita utasikia tu maana mtakuwa wengi sana.
HahhaaaaTukiita utasikia tu maana mtakuwa wengi sana.
Sawa mkuubado
aliomba kitengo gani mkuu?Kuna mtu ana report kesho kazini sasa sijui yeye ali apply zipi..
SidhaniPost moja watu 8000
Sio hizo labda. Maana deadline yenyewe haikuwa aprilMbona hiz post watu tupo kazini tangia mwez April.....??
Sawa mkuuUtaratibu ni kwamba, wale mtakao hitajika mtaitwa kwenye usaili. Njia mutakayo itwa ni Kama ile ile ya kwanza. Kupitia vyombo vya Habari.
Tusubirini kwa saburi nafasi hizi.
Sawa mkuu. Ngoja tuvumiliemuda wowote wiki hii
Mkuu kwa nafasi na drivers tayari wametoa usaili tarehe 3 mwezi 7 .hzo nyingine vuta subraSalama wakuu hivi kazi za mwisho zilizotangazwa na PPF bado hawaita watu interview? mwenye taarifa anisaidie tafadhali.
Asante sana bossMkuu kwa nafasi na drivers tayari wametoa usaili tarehe 3 mwezi 7 .hzo nyingine vuta subra