MjiniShule
Member
- Jul 27, 2012
- 11
- 1
Mambo vipi wakuu? Kuna bwana mdogo wangu aliitwa for written interview I-TECH, tumbo joto hajui kama amepita au la and he doesn't want to call their office. Kuna wadau wowote waliofanya wakaitwa kwenye oral interview? Appreciate.