Duh haya mkuu acha wenzako wa apply.Duh hii i smell fishy in here
Mimi sina utaalamu wa HR ila nataka nikushauri kwa maoni yangu kutokana na majibu ya maswali haya;Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Okay Well.Hebu tuwekee tangazo la kazi tuone majukumu ni yapi?
Umeitwa kwenye usaili kwa barua au simu?
Jibu hapo nikupe muongozo
Nafasi zipo 4 mkuu ila sijajua sasa tumeitwa wangapi maana wao ndo wanajua coz unapigiwa simu na email tu hamna majina kama wanavyo fanya utumishi kutoa pdfMimi sina utaalamu wa HR ila nataka nikushauri kwa maoni yangu kutokana na majibu ya maswali haya;
Interview lini?
Mmeitwa watu wangapi na nafasi ni ngapi?
Timeline ya written na oral ni muda/siku ngapi?(Yani tarehe ya written ni lini na ya oral ni lini)
Izo zingine HR concept sijui matheory i've nothing to fear najiamini ishu ni iyo aptitude test ambayo wanasema haibase kwenye career yakoKapitie notis za
HR planning,
HR movements kutoka kuajiriwa, promotion, leave, transifer hadi retirement.
Mengine ni kupima uelewa wako generally, hesabu lazima.
Ushafeli mwanangu, tafuta chaka jingine.Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Inategemea ni kada ipi umeitiwa,uhandisi,biashara nk.Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Mkuu izo habari mnazipataga wapi? Mbona uku sioni?Inategemea ni kada ipi umeitiwa,uhandisi,biashara nk.
Na pale huwa kunakuwa na interview mbili,
Huwa Kuna mapocho pocho kibao,korosho,kahawa,kuku kidogo,kipindi hicho hata nauli unarudishiwa kama umetoka mkoani.
Umeitwa post ganiWakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Pia nimeitwa niko huku kutafuta muongozo kwa walio tangulia lkn ata hawaji.mm yangu tareh 3Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.