Wanajamvi nimeitwa katika interview moshi kwa post hiyo kwa simu na interview inafanyika kesho asubuhi saa 2 tar 2/4/2014 hivyo basi nahitaji msaada wa mwenyekujua interview zao huwa zinakuaga za aje (maswali yapi huwa yanaweza kuwepo kwa post hiyo) na kwa namna gani (oral/written).
Naomba kuwasilisha tena wanajamvi na nimatumaini yangu nitapata msaada mtambuka kutoka kwa yeyote aliyewahi kufanya nao kazi au interview.
Naomba kuwasilisha tena wanajamvi na nimatumaini yangu nitapata msaada mtambuka kutoka kwa yeyote aliyewahi kufanya nao kazi au interview.