Interview Bonite Bottlers for Salesman/Saleslady

Interview Bonite Bottlers for Salesman/Saleslady

Mizzle87

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
93
Reaction score
6
Wanajamvi nimeitwa katika interview moshi kwa post hiyo kwa simu na interview inafanyika kesho asubuhi saa 2 tar 2/4/2014 hivyo basi nahitaji msaada wa mwenyekujua interview zao huwa zinakuaga za aje (maswali yapi huwa yanaweza kuwepo kwa post hiyo) na kwa namna gani (oral/written).

Naomba kuwasilisha tena wanajamvi na nimatumaini yangu nitapata msaada mtambuka kutoka kwa yeyote aliyewahi kufanya nao kazi au interview.
 
Ni maswali ya kawaida sana na mepesi,fahamu mission na vision,mambo ya sales kidogo soma ulichoandika kwenye CV yako pia
 
Wata kuuliza kama wewe ni mchaga,je unamfahamu reginard mengi,je kwanini wachaga wakwenda moshi december kufanya nn.je mbege inatengenezwaje.mtori ninini.taja koo jumi za kichaga unazojua.kuna umbari gani kutoka mwika mpaka uru.je mwamke wa kichaga anapenda nini zaidi.mengine wengine watajazia
 
jiandae pia kunywa soda baridiiiii,mana friji zipo ofisini kwao
 
Hahahahaaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Bonite wapo vizuri sana kwa kweli kikubwa ninachowasifu ni kurudisha gharama za watu wote waliotoka mbali ambao wapepata ata hela ya kunywa maji njiani na ata km hawajapita ktk usahili.
 
Wanajamvi nimeitwa katika interview moshi kwa post hiyo kwa simu na interview inafanyika kesho asubuhi saa 2 tar 2/4/2014 hivyo basi nahitaji msaada wa mwenyekujua interview zao huwa zinakuaga za aje (maswali yapi huwa yanaweza kuwepo kwa post hiyo) na kwa namna gani (oral/written).

Naomba kuwasilisha tena wanajamvi na nimatumaini yangu nitapata msaada mtambuka kutoka kwa yeyote aliyewahi kufanya nao kazi au interview.


Vipi tupe mrejesho usahili ulikuwaje?
 
Isues kama vile. How to interact with you castormer. Problem/violence resolution strategies. Negotietion. Time management. Communication. e.t.c
 
Back
Top Bottom