Wakuu,Hivi hawa jamaa washaita watu kwenye interview?..kama bado then wataita lini?..kama kuna mtu mwenye info basi tufahamishane manake it has been a long time
Mmmh! hawa watu bwana sijui walikuwa wanatest watu,maana kuna muda hata ile link yao muda fulani ilikuwa iko valid lakini baadae kidogo ikawa invalid,sasa sijui hata wale watu waliofanikiwa kutuma application zao kabla ya invalidation ya ile link wameitwa au la.
Wakuu,Hivi hawa jamaa washaita watu kwenye interview?..kama bado then wataita lini?..kama kuna mtu mwenye info basi tufahamishane manake it has been a long time
Kuna mtu jana aliandika thread kuna namba ya ttcl ilipigwa kwake sa alikuwa anauliza ka kuna mtu anaifahamu, ila baadae akasema ilikuwa ni ya Bank abc..nadhanit ilikuwa kwa issue za interview..tafuteni hy thread
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.