M mzuri homy Member Joined May 24, 2014 Posts 16 Reaction score 1 Jan 21, 2015 #1 Nimetumiwa meseg ya kuitwa kwa aptitude test na nmb bank. jamani tujulishane hayo maswali yanakuwa vipi coz ni mara yangu ya kwanza kwa kweli
Nimetumiwa meseg ya kuitwa kwa aptitude test na nmb bank. jamani tujulishane hayo maswali yanakuwa vipi coz ni mara yangu ya kwanza kwa kweli
K Kundikili Member Joined Apr 22, 2012 Posts 39 Reaction score 6 Jan 21, 2015 #2 Sikuhiz na hizo nterview za watu 10,000 n shida
m2kutu Senior Member Joined Apr 5, 2014 Posts 125 Reaction score 101 Jan 21, 2015 #3 mkuu aptitude test inaweza kuwa na maswali ya hesabu, communication skill, alafu ikawa na section ya proffessional yako.
mkuu aptitude test inaweza kuwa na maswali ya hesabu, communication skill, alafu ikawa na section ya proffessional yako.
NTALYAGA Member Joined Nov 24, 2014 Posts 19 Reaction score 4 Jan 21, 2015 #4 mkuu ni zone ipi wamekuita??
M martin.d.k Member Joined Jul 5, 2014 Posts 26 Reaction score 3 Jan 21, 2015 #5 Wamekuita wapi(mkoa)?
Skyblue Senior Member Joined Jan 3, 2014 Posts 196 Reaction score 55 Jan 21, 2015 #6 Mi nimeitwa Arusha. Itakuwa na huyo jamaa kaitwa hukohuko
M MWAKOLO JF-Expert Member Joined Aug 18, 2012 Posts 304 Reaction score 45 Jan 21, 2015 #7 mzuri homy said: Nimetumiwa meseg ya kuitwa kwa aptitude test na nmb bank. jamani tujulishane hayo maswali yanakuwa vipi coz ni mara yangu ya kwanza kwa kweli Click to expand... kama ww sio mchaga au muhaya imekula kwako
mzuri homy said: Nimetumiwa meseg ya kuitwa kwa aptitude test na nmb bank. jamani tujulishane hayo maswali yanakuwa vipi coz ni mara yangu ya kwanza kwa kweli Click to expand... kama ww sio mchaga au muhaya imekula kwako
W wago2011 Member Joined Jan 17, 2015 Posts 18 Reaction score 7 Jan 21, 2015 #8 Nmb hawana ubaguz confidence ya muhimu hats km umeenda chaka maswali ya general ndo wanauliza sana km ya darasan no machache San ila mi sikuulizwa swali LA darasan hata moja pia jua product za nmb na wamiliki wa nmb ktk hisa
Nmb hawana ubaguz confidence ya muhimu hats km umeenda chaka maswali ya general ndo wanauliza sana km ya darasan no machache San ila mi sikuulizwa swali LA darasan hata moja pia jua product za nmb na wamiliki wa nmb ktk hisa
K Kundikili Member Joined Apr 22, 2012 Posts 39 Reaction score 6 Jan 22, 2015 #9 Acha ulongo, mwakolo
walitola JF-Expert Member Joined Nov 28, 2014 Posts 4,832 Reaction score 5,632 Jan 22, 2015 #10 Jmn wadau vp yale ya mkoa wa pwani bado awajaita mana huku vitumbo joto atuelewi kabsa
M mzuri homy Member Joined May 24, 2014 Posts 16 Reaction score 1 Jan 22, 2015 Thread starter #11 nawashukuruni wote jamani kwa ushirikiano mlionipa. mbarikiwe..