sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
Kwa mara ya kwanza naona kama vile miaka mitano ni mingi sana kusubiri kufanya uchaguzi mwingine.
Kwa nini tusianze na kupunguza mwaka mmoja iwe minne kama US.....maana duh, watanzania wapole sana, kugoma hatuwezi, kuandamana wanaoweza wachache......yaani wengi wetu masharobaro tu, tunaishia kupost comments JF
Kwa nini tusianze na kupunguza mwaka mmoja iwe minne kama US.....maana duh, watanzania wapole sana, kugoma hatuwezi, kuandamana wanaoweza wachache......yaani wengi wetu masharobaro tu, tunaishia kupost comments JF