Internet ya unlimited ya Vodacom

Internet ya unlimited ya Vodacom

ukabu

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
212
Reaction score
68
Habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000 kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili niwapige chini Voda.
 
Mimi kwangu hiyo ya 1000 mpaka ifike 4Gb ya data usage ndio itarun slow
 
habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili niwapigw chini.voda

Hivyo hivyo mkuu kuna limit ikifika speed inashuka.
 
habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili niwapigw chini.voda
  • Utapata maximum speed kwa 5.12GB
  • Kisha speed inashuka kuwa ya kobe mpaka muda wako wa mwezi utakapo kwisha.
  • Kwa sasa package ya thamani ya fedha yako utapata kupitia airtel OMG package - Tatizo si maeneo mengi yenye kasi nzuli kwa airtel ukilinganisha na vodacom
 
Yani kama pande zangu michosho 2pu, 2G kwenda mbele. TTCL ndo mpango mzima.
 
habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili niwapigw chini.voda
Usipoteze hela na muda. Spidi inashuka baada ya GB moja ya download. Pathetic Vodacom
 
habar wadau nauliza hivi nikiunga internet ya voda ya 1000kwa siku ikifikia mb1024 speed inashuka je nikijiunga kifurush cha 20000 cha mwezi ni vile vile kuna limit au ndo ni magumash tu ili niwapigw chini.voda


Lete Book 20 nkuunge Unlimited download and upload kupitia kwa system admin
No vpn its a legit data
 
Toka matundu ya Pdproxy yafungwe sijawahi furahia huduma ya internet. Nimesubiri hadi nimekata tamaa.
 
Speed ya uhakika ya 4G ya ukweli hapa bongo ni mtandao mmoja tu nao ni SMILES waliobaki wote ni WEZI tu!!
 
  • Utapata maximum speed kwa 5.12GB
  • Kisha speed inashuka kuwa ya kobe mpaka muda wako wa mwezi utakapo kwisha.
  • Kwa sasa package ya thamani ya fedha yako utapata kupitia airtel OMG package - Tatizo si maeneo mengi yenye kasi nzuli kwa airtel ukilinganisha na vodacom

Mwl.RCT Vipi kuhusu hii ya 1000 kwa 24hrs mara nyingi nikijiunga nayo ikifika 1024MB inakata kabisa?

Ntakushukuru Nikieleweshwa pia/zaidi na hapo..
 
Last edited by a moderator:
  • Utapata maximum speed kwa 5.12GB
  • Kisha speed inashuka kuwa ya kobe mpaka muda wako wa mwezi utakapo kwisha.
  • Kwa sasa package ya thamani ya fedha yako utapata kupitia airtel OMG package - Tatizo si maeneo mengi yenye kasi nzuli kwa airtel ukilinganisha na vodacom

= nzuri
 
Nadhani unatania..


Labda nikuulize uko sehemu gani?

Airtel ni mtandao pekee wenye minara mingi ya 3.75G sehemu za mijini

Kama unaishi Bush Airtel sio yako

Mfano humu JF nimeweka picha nyingi kuonesha kuwa Airtel ni moto wa kuotea mbali

Utani wangu uko wapi sasa?

Nenda kokote Tanzania hata ofisini kwa voda,tigo,zantel au wapi uone kama utakaa upate speed kama hii kwa 3G

mY AVERAGE SPEED WITH aIRTEL NI 2.5MB/sec equivalent to 20Mbps

nlnr.png
 
Back
Top Bottom