Internet ya bure kwa watumiaji wa Airtel

Internet ya bure kwa watumiaji wa Airtel

kumbe ni kuanzia saa 5:00 usiku hadi ssa 12:00 asubuhi? Kama ni hivyo hii ni wizi mtupu

correction ni kuanzia saa tatu usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi,imetanganzwa kwenye radio kwa hiyo ni ukweli. I on the other hand have a 400mb bundle and i dont care abt that. Plus nimesikia pia hii ni ofa ya muda mfupi usishangae ikaisha hata baada ya pasaka!
 
Airtel nao wanataka kuwa kama tanesco wanavyokata umeme mchana kutwa muda ambao shughuli za ujenzi wa taifa zinapaswa kufanyika, ss hao nao kuanzia saa 5 usiku huo ni muda wa mtu kulala. Hawataki watu tutumie ila wanajifanya kutujali kama wanatujali si watuachie mchana kutwa!
 
Gooddamn! N nimejaribu ckuona lolote kama vp MODS toeni hii thread coz mimi naona ya uongo na jukwaa hili cyo la kuambiana v2 vya uongo,mm jana nimejaribu line kama 4 lakini wapi,kama kweli wanataka ku2pa ofa wa2pe mchana.
 
Gooddamn! N nimejaribu ckuona lolote kama vp MODS toeni hii thread coz mimi naona ya uongo na jukwaa hili cyo la kuambiana v2 vya uongo,mm jana nimejaribu line kama 4 lakini wapi,kama kweli wanataka ku2pa ofa wa2pe mchana.

Mkuu, unaelewa unacho andika kweli? Mara hii thread ni ya uongo mara ooh kama wanatoa ofa si watoe mchana, kumbe unajua inatolewa usiku?

Ni busara zaidi ukafikiria ukajua unacho kiandika na point yako isimamie wapi nasiyo unajikanyaga mwenye...

Ukweli ni kwamba mimi jana usiku nilifanikiwa kutumia hiyo offer yao kwenye saa 6 hvi, kama modem yako haina pesa uwezi kuunganisha mtandao wa Airtel mpaka uwe na salio ambalo litakuwezesha kuunganishwa na mtanda pasipo kukatwa salio lako.
 
Wizi ule ule tu! Ofa gani ya Usiku wa manane, hii ni sawa na kwenda kulala kwa mke wa mtu nyumbani kwake usionwe! Lol.
Huu ni UZINIFU WA MAWASILIANO :lol:
 
Mkuu, unaelewa unacho andika kweli? Mara hii thread ni ya uongo mara ooh kama wanatoa ofa si watoe mchana, kumbe unajua inatolewa usiku?

Ni busara zaidi ukafikiria ukajua unacho kiandika na point yako isimamie wapi nasiyo unajikanyaga mwenye...

Ukweli ni kwamba mimi jana usiku nilifanikiwa kutumia hiyo offer yao kwenye saa 6 hvi, kama modem yako haina pesa uwezi kuunganisha mtandao wa Airtel mpaka uwe na salio ambalo litakuwezesha kuunganishwa na mtanda pasipo kukatwa salio lako.

Mkuu kusema ukweli ni waongo tu labda tuwekane wazi kuwa kuna kujisajili kama si hivyo basi ni baadhi wanaipata ofa hiyo na si wote.Naweza sema jana mimi wamenikamua zaidi ya kawaida.Au ni kwa wale wanaotumia modem za airtel tu?Halafu kuna haka katatizo ka kudisconnect kanazidi kukua.
 
Mkuu, unaelewa unacho andika kweli? Mara hii thread ni ya uongo mara ooh kama wanatoa ofa si watoe mchana, kumbe unajua inatolewa usiku?

Ni busara zaidi ukafikiria ukajua unacho kiandika na point yako isimamie wapi nasiyo unajikanyaga mwenye...

Ukweli ni kwamba mimi jana usiku nilifanikiwa kutumia hiyo offer yao kwenye saa 6 hvi, kama modem yako haina pesa uwezi kuunganisha mtandao wa Airtel mpaka uwe na salio ambalo litakuwezesha kuunganishwa na mtanda pasipo kukatwa salio lako.

Hapo kwenye red,watu wa airtel wameomba msamaha kwa usumbufu uliojitokeza kwani ofa yao ina anza kesho hivyo walitangaza kimakosa sasa mwenzetu hiyo ofa uliipata vipi mkuu tuwekana wazi.Hizi taarifa nimepata kutoka airtel customer care.
 
Naona Zitto anasema hii Kampuni iliinunua Zain lakini malipo ya kodi utata mtupu....Kama watu hawajui serikali ina 40% share sasa sijui kama inapata chochote baada ya faida????? Sitaki kabisa kuwa mteja wa kampuni hii...
 
Hapo kwenye red,watu wa airtel wameomba msamaha kwa usumbufu uliojitokeza kwani ofa yao ina anza kesho hivyo walitangaza kimakosa sasa mwenzetu hiyo ofa uliipata vipi mkuu tuwekana wazi.Hizi taarifa nimepata kutoka airtel customer care.

Huyu jamaa miyeyusho kinoma, yaani anaamanisha hii ofa aliipata peke yake!
 
Mkuu, unaelewa unacho andika kweli? Mara hii thread ni ya uongo mara ooh kama wanatoa ofa si watoe mchana, kumbe unajua inatolewa usiku?

Ni busara zaidi ukafikiria ukajua unacho kiandika na point yako isimamie wapi nasiyo unajikanyaga mwenye...

Ukweli ni kwamba mimi jana usiku nilifanikiwa kutumia hiyo offer yao kwenye saa 6 hvi, kama modem yako haina pesa uwezi kuunganisha mtandao wa Airtel mpaka uwe na salio ambalo litakuwezesha kuunganishwa na mtanda pasipo kukatwa salio lako.
poa mkubwa nimekuelewa pamoja sana
 
Huyu jamaa miyeyusho kinoma, yaani anaamanisha hii ofa aliipata peke yake!

Siwezi kuwa aminisha kwa kitu na siko hapa kwa kazi hiyo, unaweza kuchapa lapa taratibu taratibu.
 
yaani jana usiku nlickia kama kupiga yowe!!!!walinkamua kuliko hat kawaida...kidume najifanya kuangalia movie net...nlipenda.
 
Vp sasa hivi, unakula hiyo net ya bure maana ni saa sita kama na nusu hivi.

huyu jamaa analeta siasa kwa mambo ambayo watu tuko makini,man acha porojo zako.
 
huyu jamaa analeta siasa kwa mambo ambayo watu tuko makini,man acha porojo zako.

Mkuu, naomba uniambie kosa langu liko wapi hapa? Ni kwa mimi kuleta hii habari au kwa kuwaambia kuwa kuwa juzi nilitumia net pasipo kukatwa salio?


Maana naona umeniandama sana kama vile mimi ndiye ninayetoa hiyo offer, ukifutilia kwa makini hii thread utajua ukweli wangu na uongo wangu usipate shida sana kwa kunisakama.
 
Jamani hizi habari ni za kweli? wadau tumeshafuria usawa huu.
 
Mkuu, naomba uniambie kosa langu liko wapi hapa? Ni kwa mimi kuleta hii habari au kwa kuwaambia kuwa kuwa juzi nilitumia net pasipo kukatwa salio?


Maana naona umeniandama sana kama vile mimi ndiye ninayetoa hiyo offer, ukifutilia kwa makini hii thread utajua ukweli wangu na uongo wangu usipate shida sana kwa kunisakama.

man wewe ndio uliyesema kuwa uli2mia net ya bure wakat niki2 cha uongo,au ulipewa hyo offer wewe 2? Ndio maana watu wanaona unaleta siasa kwnye hili jukwaa.
 
Back
Top Bottom