Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Habari zenu ndugu zangu na tumia hp notebook 15 pc yangu ina sumbua upande wa internet hasa wakati wa kudownload unakuta kitu kina mb 4 tu na mtandao ni 4g ila inatumia hadi dak 10 au 15 kitu cha mb 200 kinatumia masaa 3 hadi msaa 4 sasa usije jaribu cha gb 1 unaweza kulia maana hadi masaa 10 inachukua. Je nauliza nn itakuwa tatzo maana nimesha tumia wifi,router(universal 4g) ninayo modem ya 4 g nayo ni universal ya huawei,cable table(ili ya kuonganisha na usb wire).
Hivi vyote ninavyo yaan na wifi(simu),router 4g,modem 4g. Navyote nakitumia vinashidwa kudownload au inakuwa na slow speed hata nikiwa naangalia video youtube nikiwela high quality inasumbua hatari ila ili tatzo la kuwa kuna tatzo upande wa kudownload lilikujaa baada ya tcra kufungulia mitandao ila kabla ya uchaguz ilikuwa inakimbiza fresh tu ilikuwa inapeleka hadi 4m per sec ila sasa hv hakuna kitu. Hapo speed inakaaga mara nyingi ni 72.2 mbps ingawa muda huu imekaa 100 mbps wakati na ichukua . Msaada wenu wa dau chief-mkwawa
nafakabeinafuu
Hivi vyote ninavyo yaan na wifi(simu),router 4g,modem 4g. Navyote nakitumia vinashidwa kudownload au inakuwa na slow speed hata nikiwa naangalia video youtube nikiwela high quality inasumbua hatari ila ili tatzo la kuwa kuna tatzo upande wa kudownload lilikujaa baada ya tcra kufungulia mitandao ila kabla ya uchaguz ilikuwa inakimbiza fresh tu ilikuwa inapeleka hadi 4m per sec ila sasa hv hakuna kitu. Hapo speed inakaaga mara nyingi ni 72.2 mbps ingawa muda huu imekaa 100 mbps wakati na ichukua . Msaada wenu wa dau chief-mkwawa
nafakabeinafuu