Internet shutdown? Yo this is poor madness on steroids

Internet shutdown? Yo this is poor madness on steroids

Dunia yote inamshangaa huyu mama kwanini ameshinda kwa kishindo alafu haya yote yanatokea?🤣
Halafu kuna watu wenye akili timamu na wasomi kabisa wapo kimya tu wanaangalia tu nchi inavyozamishwa. Yani leo 🇹🇿 haina tofauti na Zimbabwe ya enzi za Mugabe.
Tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele wazee wa nchi hii wanaangalia tu.
 
Hii serikali iliyojiteua simply can not handle the pressure. They are very coward individuals. Ukiwaona unaweza fikiri ni watu smart sana kumbe ni weupe sana upstairs
 
Wana JF, lHabari za muda huu…

mambo yanavyoenda sasa hivi ni straight up wild, yani pure madness.
Tumeshaambiwa mara kadhaa kuwa internet inaweza kuzimwa and honestly, tujiulize… kwanini? What’s the real play here?
Because hii story yote inanuka agenda za chini ya meza.

Yani unaamka asubuhi unakuta taifa linaendeshwa kama cheap street hustle, no plan, no accountability, just vibes na panic.
Internet kuizima si protection, si security ni move ya kutuchonga kama hatuna akili.
Who does that in 2025?
This ain’t leadership, this is straight up chaos mode.

Halafu watu wanafanya kama access ya information ni luxury.
Bruh, people make money online, tunauza, tunafanya remote jobs, tunawasiliana halafu mtu anakuja na hii idea ya “let’s shut it down”…
For what?
To hide what?
To block what?
Because once you switch it back on EVERYTHING pops up.
Hakuna siri ya digital. Period.

Na kama mtu kweli anajali nchi, anajali uchumi, anajali youth, anajali stability
Hizo decisions hazitoolewi kama uko kwenye free trial of leadership.
Tanzania sio playground.
Hii ni nation, not some street corner where people act impulsively.

Wanaomzunguka kiongozi badala ya kumtahadharisha wanajitupa kwenye yes-boss energy kama wanatafuta endorsement.
Uchawa unaua nchi bila mlio.
Tunaishi kwenye nchi yetu kama tuko kwenye restricted mode, hakuna uhuru, hakuna consistency, hakuna direction.

Kama system haiwezi ku-hold pressure bila kufunga internet, bila kuvuruga wananchi, bila kutisha watu
Then yo, let’s be honest… someone needs to step back.
Because future ya taifa haiendi mbele kwa fear + silence + cover ups.

Tunataka stability, openness, real leadership, real talks, sio hizi move za kuturudisha enzi za giza.

Tanzania deserves better.
Watu wake wanastahili better.
Na generation ya sasa we see EVERYTHING.

Ujinga wanaofanya ni kwamba wanazima ila wao wanaendelea tu kupata internet ,yaani kwao internet muhimu sana kuliko wafanyabiashara ambao ndiyo wanaochangia kodi kubwa serikalini ,wanazuia IPs zote za wafanyabiashara na kuruhusu IPS zao tu ziweze kupata internet.

Internet wanatumia wao kuangalia Youtubes na nje wanasemaje basi hawaingizi hata 100....Katiba mpya ni muhimu sana kuondoa huo uhuni ,na tuongeze kwenye maridhiano kwamba Elon Musk alete Internet yake hapa bongo tuondokane na Ukiritimba wa TCRA.
Safari hii wamepanga wakizima mtandao na kuanza kufanya yao, kuzunguka nyumba kwa nyumba na kukusanya simu za watu au kuzivunja pale pale. Hiyo ndiyo level yao ya kufikiri ilipo.

Sioni uwezekano wa hawa viumbe kutupitisha salama katika huu mtanange. Naona kabisa hali inaenda kuwa mbaya mno.

Lazima UN intervention itahitajika ila watu wengi watakuwa wameumia mno.
 
Wanaogopa nini wakati wamechaguliwa na 98% ya watanzania wote.
Wamefungia X, wamefungia tik tok na jamii forums. Bado mtaani uhuru wa kuzungumia serikali haupo.
Watu wananungunikia moyoni kwa sababu ya kuogopa kukamatwa na polisi au kutekwa.
Hatari sana.
 
Halafu kuna watu wenye akili timamu na wasomi kabisa wapo kimya tu wanaangalia tu nchi inavyozamishwa. Yani leo 🇹🇿 haina tofauti na Zimbabwe ya enzi za Mugabe.
Tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele wazee wa nchi hii wanaangalia tu.
Wanaogopa kikundi flani toka Z'bar kilichopewa mamlaka ya kumpoteza yeyote atakayekuwa tofauti na huyu mnayemwita mama. Tumefikia sehemu mbaya sana kama taifa
 
Nilikuwa nakuona una masihara sana lakini huu ushauri wako unaweza kuwa mshauri wa Ikulu
Huo ushauri hawautaki wanachoka ni kuambiwa guys guys you know guys listen guys.. fuuuuuuuuck you guys who is guys? Grown men never should bite their tongue.. tell them
 
Tanzania deserves better.
Watu wake wanastahili better.
Na generation ya sasa we see EVERYTHING.
I read you and commiserate with you!

May be the head of the fake government is an ignorant idiot; but how about the likes of the so called professors and Ph.D. holders in the same fake government? The Kitila Mkumbos; Kabuti Kalamagandas; Madilu Nchembas, etc; etc. who act as if they.re puppets played by a puppeteer.

We had governments before the advent of the internet, very honest governments working for the people!

So I refuse to accept tjhe notion that the internet somehow makes the type of leaders we have seem to be semigods. It is my submission to you that even during the age of the artificial intelligence revolution, which is already unveiling its head right before our eyes; such lunatic leaders will still be around; and it will be the duty of every straight thinking person to ensure their rejection.
 
Safari hii wamepanga wakizima mtandao na kuanza kufanya yao, kuzunguka nyumba kwa nyumba na kukusanya simu za watu au kuzivunja pale pale. Hiyo ndiyo level yao ya kufikiri ilipo.

Sioni uwezekano wa hawa viumbe kutupitisha salama katika huu mtanange. Naona kabisa hali inaenda kuwa mbaya mno.

Lazima UN intervention itahitajika ila watu wengi watakuwa wameumia mno.
Mbona kama watakuwa wajinga sasa😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom