Zimbabwe ishakuwa DRC, Mnagngwa anaonja kile alichoasisi mwenyewe wakati akiwa Swahiba wa Mugabe na akiwa CDF. wakilinda maslahi Ya ZANUPF.
majuto ni mjukuu.
ni sawa na yanayomkuta Lowasa, ni yale yote aliyounga mkono dhidi ya upinzani, hakuwa kuua ipo siku atakuwa mpinzani na kuonja aumivu.