International School, watoto hutafuta vitu vitatu tu

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Le Mutuz alisomaga wapi? Bashite je? Madelu vp? Jiwe?
 
Point yako ni ipi?
Huitaji kusoma International School tu ili kupata exposure, network n confidence. Angalia connection za wafanyabiashara wakubwa nchini na wanasiasa halafu tafuta wangapi walisoma unazoziita International Schools.

NB: Awamu ya 5 iliwainua watoto wa maskini mpaka ngazi za juu Sana. Both kisiasa na corporate eg. CEO wa benki kubwa nchini hata telcos. Wengi wamesoma Kayumba.
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Mkuu mimi nimesoma shule hizo kupitia ufadhili wa biashara flan za wadau, nilichogundua Akili ya mtoto ndo kitu cha msingi zaidi.
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Sawa sawa kabisa lakini pia JE, unauwakika katika makuzi yako haujawai kusoma na mtoto wa tajiri shule moja au darasa moja na je mpaka uliko fika sasa umri huo umefanya nn na iyo connection au mpaka sasa hujawai kukutana na matajiri au watu wanaojiweza vizuri je umefanya nn? Usitegemee kwamba utakutana na watu wa aina kama hiyo kama unaenda cheki mpira vibanda umiza au pup la kawaida, sometimes maeneo ambayo mtu huenda ndo humfanya kubadili hata mtazamo na connection. Unaenda shopping mwenge January mpaka December unadhani utakutana na wakishua hapana labda kwa bahati tu. Huwezi kurusha ndoano kwenye kina kifupi baharini ukategemea kumvua samaki mkubwa kama papa, utaambulia dagaa tu.
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Peleka watoto wako wakasome huko

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom