caiden mills
Member
- Jul 13, 2019
- 49
- 19
Kwa yeyote mwenye uelewa na course hii anijuze tafadhali.... Mahali inapotolewa tanzania na vigezo ufauru wangu nina BBB Comb Hgl
Udom .na chuo cha diplomasia kurasini .cfriKwa yeyote mwenye uelewa na course hii anijuze tafadhali.... Mahali inapotolewa tanzania na vigezo ufauru wangu nina BBB Comb Hgl
Inahusu diplomasia na mahusiano ya kimataifa ,,unasomea itifaki ,na usuluhishi na mahusiano baina ya nchi na nchi........ofisi za ubalozi,mashirika ya amani ,idara za usalama pamoja taasisi kubwa za mihimil.ikulu na bungen ndo mahala pa kaziKwa yeyote mwenye uelewa na course hii anijuze tafadhali.... Mahali inapotolewa tanzania na vigezo ufauru wangu nina BBB Comb Hgl
Inahusu diplomasia na mahusiano ya kimataifa ,,unasomea itifaki ,na usuluhishi na mahusiano baina ya nchi na nchi........ofisi za ubalozi,mashirika ya amani ,idara za usalama pamoja taasisi kubwa za mihimil.ikulu na bungen ndo mahala pa kazi
Hapa umeshamchanganya. Atajiona kala maisha, akati kuna watu lukuki wapo mtaani
Kweli kk .soma unachokipendaCha muhimu ni kusoma ajira mipango ya mungu na juhud zakobro