International Relation and Diplomacy!

la fiducia

JF-Expert Member
Mar 13, 2016
212
168
Habari za saa hizi wandugu! Samahani, naomba mwenye uelewa kuhusu hiyo kozi tajwa hapo juu!

Kozi hii ni moja ya kozi ambayo hutolewa na Chuo cha Diplomasia Dar, es salaam kwa ngazi tofauti ikiwemo Certificate na Diploma.

Kikubwa kilichonifanya nianzishe uzi huu ni...
1: Naomba kujuzwa soko la ajira kuhusu hii kozi.

2: Upatikanaji wa field au baada ya chuo upoje

3: Ni mahali gani mtu anaweza kufanya kazi kwa kusoma kozi hii?

Lakini kubwa zaid ni kujua hasa hasa kuhusu soko lake la ajira hapa Tanzania kwa level za Diploma na Certificate!

Naomba ushauri wenu kwa yeyote mwenye kujua na zaidi ya hayo nilioyaandika!

Nawasilisha.
 
Mimi mwenyewe nauhitaji mkubwa wa kujua kuhusu hili suala...nasubir wadau wakichangia tuone SODOKA tunaomba msaada wako mkuu
 
duhkama kwenu wamewaza kukupeleka ukasome hiyo nenda tu bt kama unataka kwenda kwa akili zako tu sikushauri
 
Mimi mwenyewe nauhitaji mkubwa wa kujua kuhusu hili suala...nasubir wadau wakichangia tuone SODOKA tunaomba msaada wako mkuu

ahsante kwa kutambua mchango wangu katika ushauri wa kielimu....hii course inatamkika vizuri sana ...inashawishi kuisoma....in fact inahusu mambo ya mahusiano ya kimataifa ikiwemo diplomasia hususani katika masuala ya ubalozi ...field unapata katika nyanja mbalimbali mfano ICC Arusha au ubalozini ....ni course nzuri sana lakn ajira zake kwa miaka hii ni ngumu sana kama hauna connection usifate tittle ya course ..soma kitu kinachouzika ujikwamue na maisha magumu ...akina X wanatushauri tujiajiri ili hali wenyewe wameajiriwa ...huu ni ubwege
 
ahsante kwa kutambua mchango wangu katika ushauri wa kielimu....hii course inatamkika vizuri sana ...inashawishi kuisoma....in fact inahusu mambo ya mahusiano ya kimataifa ikiwemo diplomasia hususani katika masuala ya ubalozi ...field unapata katika nyanja mbalimbali mfano ICC Arusha au ubalozini ....ni course nzuri sana lakn ajira zake kwa miaka hii ni ngumu sana kama hauna connection usifate tittle ya course ..soma kitu kinachouzika ujikwamue na maisha magumu ...akina X wanatushauri tujiajiri ili hali wenyewe wameajiriwa ...huu ni ubwege

Point noted! Asante mkuu
 
ahsante kwa kutambua mchango wangu katika ushauri wa kielimu....hii course inatamkika vizuri sana ...inashawishi kuisoma....in fact inahusu mambo ya mahusiano ya kimataifa ikiwemo diplomasia hususani katika masuala ya ubalozi ...field unapata katika nyanja mbalimbali mfano ICC Arusha au ubalozini ....ni course nzuri sana lakn ajira zake kwa miaka hii ni ngumu sana kama hauna connection usifate tittle ya course ..soma kitu kinachouzika ujikwamue na maisha magumu ...akina X wanatushauri tujiajiri ili hali wenyewe wameajiriwa ...huu ni ubwege
pamoja na kukosoa hyo kozi, tunaomba ungeweka na kozi ambazo ni marketable kwenye soko la ajira au kujiajiri ili usaidie watu wasiende OP
 
Back
Top Bottom