kiasi gani?Police makao makuu Ila huwa ni miezi sita tu
MkuuHabari wakuu,
Kwa manufaa ya wengi naomba kujua jinsi ya kupata International Driver License kwa hapa Tanzania.
Shukrani sana mkuu kwa maelezoMkuu
Kachunguze mwenyewe Huyo aliyejibu hili swali sijui kama anajua kitu sababu angekupa details, yeye kakujibu tu kama anakuelekeza soko la kisutu kununua kuku!
Mwambie mtu makao makuu idara Fulani! Makao makuu Ina offisi ngapi wewe utaenda ipi?
Kwanza sijui kama kitu hiki kipo sababu nchi nyingi zina mfumo tofauti na wa zamani.
Zamani nakumbuka kulikuwa na AA automobile association of Tanzania. Siku hizi siwaoni hapa naona Nairobi wapo hawa ndio walikuwa wanatoa International Licence kwa kushirikiana na Traffic.
Ulaya au Marekani hata uwe na hiyo international lazima utahiniwe upya ambavyo no sawa tu na hii ya kawaida.
Nchi za SADC, COMESA wana bilateral relationship wakitambua Licence zao kwa pamoja sasa sielewi hii international inatumika wapi.
OK pia nashukuru kutambua juhudi na ari ya kujaribu kukusaia.Shukrani sana mkuu kwa maelezo
Ni kwamba kuna kazi nataka ku apply sasa mojawapo ya requirements ni lazima uwe na hyo International Driving Licence hapo ikanitatiza kidogo
Niliwahi kuipata miaka ya nyuma.Unakwenda trafiki watakuhoji maswali,wakiridhika kulikuwa na kiasi unalipia then unakwenda AA (automobile association) inalipia na kupewa leseniHabari wakuu,
Kwa manufaa ya wengi naomba kujua jinsi ya kupata International Driver License kwa hapa Tanzania.
These are the answers of a genuine gentleman.Niliwahi kuipata miaka ya nyuma.Unakwenda trafiki watakuhoji maswali,wakiridhika kulikuwa na kiasi unalipia then unakwenda AA (automobile association) inalipia na kupewa leseni