Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,241
Habari ndugu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa mdogo wenu nilikuwa na maswali machache kama kuna mtu anajua jinsi intern za kampuni ya Knauf Gypsum Tanzania Ltd.
Kuanzia malipo na taasisi kwa ujumla anaweza nisaidia apa ili nijue.
Maana mi Niko mkoani sijawahi fika dar es salaam na kuijua kampuni kiundani.
Natanguliza shukrani za awali ndugu zangu.
Poleni na majukumu ya kujenga taifa mdogo wenu nilikuwa na maswali machache kama kuna mtu anajua jinsi intern za kampuni ya Knauf Gypsum Tanzania Ltd.
Kuanzia malipo na taasisi kwa ujumla anaweza nisaidia apa ili nijue.
Maana mi Niko mkoani sijawahi fika dar es salaam na kuijua kampuni kiundani.
Natanguliza shukrani za awali ndugu zangu.