Interlocking bricks machine

Interlocking bricks machine

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,098
Reaction score
437
Habari,

Samahani kwa usumbufu ila naomba msaada wa kujua sehemu wanapouza mashine za kutengeneza interlocking bricks,nlikua naomba msaada wak ujua wanauza shillingi ngapi hizo mashine za manual na automatic mana niko interested nazo.

Nashukuru sana kwa msaada wenu

Jashmoe
 
Habari,

Samahani kwa usumbufu ila naomba msaada wa kujua sehemu wanapouza mashine za kutengeneza interlocking bricks,nlikua naomba msaada wak ujua wanauza shillingi ngapi hizo mashine za manual na automatic mana niko interested nazo.

Nashukuru sana kwa msaada wenu

Jashmoe
 
Jaribu pia kugoogle hydroform tanzania utawakuta huko !!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
pale millenıum park ubungo manual ni 1.8m na auto ni kuanZia 7m, mi nilitengeneza ya kufoji kwa laki 7, yaani materıal duni nimefyatua tofali zangu na sasa niko kwangu,ujenzi ni nafuu kwa hizo tofali
 
pale millenıum park ubungo manual ni 1.8m na auto ni kuanZia 7m, mi nilitengeneza ya kufoji kwa laki 7, yaani materıal duni nimefyatua tofali zangu na sasa niko kwangu,ujenzi ni nafuu kwa hizo tofali

Samahani brother ila nimekuPM about the one uliotengeneza if ni manual au auto?Ulikua unafyatua ngap kwa siku?
 
Habari,

Samahani kwa usumbufu ila naomba msaada wa kujua sehemu wanapouza mashine za kutengeneza interlocking bricks,nlikua naomba msaada wak ujua wanauza shillingi ngapi hizo mashine za manual na automatic mana niko interested nazo.

Nashukuru sana kwa msaada wenu

Jashmoe

Habari... Hivi ulifanikiwa kupata machine ya kufyatulia tofali? Nipo interested kununua machine husika...tafadhali naomba uzoefu
 
Habari... Hivi ulifanikiwa kupata machine ya kufyatulia tofali? Nipo interested kununua machine husika...tafadhali naomba uzoefu
Mrejesho kuhusu uoatikanaji wa hizi mashine bado tunasubiri kwa aliyepata
 
Mrejesho kuhusu uoatikanaji wa hizi mashine bado tunasubiri kwa aliyepata
Machine nzuri wanazo hawa wabrazil http://verdeequipamentos.com.br/en/ au watafute Sahara nao ni wabrazili unaweka order after 45 days unatumiwa machine yako kwa njia ya airflight
Gharama zao verde equpmentos
verde equipmentos  3.PNG
verde equipmentos  3.PNG
verde equipmentos 2.PNG
verde equipmentos.PNG
verde pic 3.PNG
verde pic.PNG
verde equipmentos  3.PNG
verde equipmentos  3.PNG
verde equipmentos 2.PNG
verde pic.PNG
verde pic 3.PNG
 
Mkuu umewahi Kuagiza Mashine kwa Hawa Jamaa? Maana nataka niagize, na nimewasiliana nao baada ya Kuona huu Muongozo wako. Sasa nataka nipate Muongozo kidogo nisije nikaenda Kichwa Kichwa nikala za Uso.
No, nilichukua China yenye size hii 250mm x 125mm x 62.5mm. Niliweka ndani tu sikuitumia
 
No, nilichukua China yenye size hii 250mm x 125mm x 62.5mm. Niliweka ndani tu sikuitumia
Kwanini hukutumia sasa, Na umeagiza kutoka mbali huko, Au haikua bora?
Nina mpango Wa Kuagiza hiyo mashine ndio maana Natafuta muongozo. Kwa kuanzia nataka nikawaone Sido nimeambiwa wanatengeneza pia.
Ila Hiyo yako kama Huitumii na iko vyema tunaweza tukayajenga.
 
Kwanini hukutumia sasa, Na umeagiza kutoka mbali huko, Au haikua bora?
Nina mpango Wa Kuagiza hiyo mashine ndio maana Natafuta muongozo. Kwa kuanzia nataka nikawaone Sido nimeambiwa wanatengeneza pia.
Ila Hiyo yako kama Huitumii na iko vyema tunaweza tukayajenga.
Iko vizuri kabisaa material ni chuma sio aluminium, nzito kabisa. Sasa hivi niko busy na mambo mengine ila nikitulia nitaitumia
Cha pili kabla hujanunua fanya tafiti wapi utapata material yakutengenezea tofali hizo
 
Iko vizuri kabisaa material ni chuma sio aluminium, nzito kabisa. Sasa hivi niko busy na mambo mengine ila nikitulia nitaitumia
Cha pili kabla hujanunua fanya tafiti wapi utapata material yakutengenezea tofali hizo
Yaani Kuhusu Materials, tayari nimefanya Utafiti wa Kutosha tuu, hapo mimi kilichosalia Ni Hiyo Mashine.
 
Back
Top Bottom