Interest rate ya mkopo baada ya kufungua kesi

mzeemzima

Senior Member
Apr 14, 2010
122
78
Ndugu wanasheria,

Naomba msaada wa kujuzwa kuhusu hili,

Kuna mkopo ulikopwa wa thamani ya Millioni 7 kutoka benki, baada ya hapo kulitokea utata katika malipo ya mkopo , mkopaji akaenda mahakamani wakati anaenda mahakamani kutokana na riba deni likafikia Millioni 13. Kesi imekaa mahamani kwa miaka 10 mapaka . Je kisheria deni la mkopo huu kwa sasa ni sh Millioni 7 au Sh Millioni 13 au ni Sh Millioni 13 Jumlisha na interest ya miaka yote 10 ya kesi kuwa mahakamani?

Natanguliza Shukrani kwa ufafanuzi wenu.
 
Back
Top Bottom