INTEL CPU Core i5 vs. Core i7: What's the Difference?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,938
1,437
Mara nyingi inatokea hawa wanateknolojia wanatuchanganya na misamiati bila sisi watumiaji kujaribu kujua hasa kuna tofauti gani za kitaaamu na kiufundi zinasabaisha misamiati hii. Usipokuwa makini unaweza kuuziwa hata simu ya Nokia 2600 kwa bei ya Nokia 5800 sabbau tu Imewekwa kwenye kasha la nokia 5800 .. Watu wa masoko kazi yao ni kujaribu kutumia maneno kama 3g, 4g. Lakini tofauti za kiteniki ni nini utashangaa.

Inaweza kutokea pia kwa kufuata Misamiati hii unanunua kitu amabcho ni cha gharama kubwa lakini haukihitaji au kile kinachosabibisha gharama hauna matumizi nacho . Mfano kwenye hizi CPU za intel unaweza kuona misamiati kama Intel core i3, core i5 na core i7. Kwa harak haraka sababu ya ubora unaweza kushawishika kununia kile cha gharama. Ni wazi toleo lamwish linaweza kuwa ni bora zaidi ya lile la nyuma. Lakini kama mwanateknolojia jiulize ni features gani za kitekniki zimebadilika?

Cha kujiuliza je hili toleao jipya au la ghrama lina/halina vitu vya ziada amabvyo si muhimu kwangu. Je hili teleo la nyuma sio chagua bora zaidi.?

Kwa hiyo ili ufanye maamuziz sahihi ni bora kujua lakini kama mshiko Sio tatizo wala issue kabisa basi nenda nenda ni ile kitu wanasema na wakati kwa kuwa na latest. Lakini kama ni mtu unayepedna kujua zaidi kile unachonunua basi soma mambo kama hay chini.


Since its release in early September, 2009, the Core i5 has been branded as the mainstream version of Intel's Core i7. So what are the real differences between Core i5 and Core i7, and how do Intel's two product lines compare? Updated to reflect Sandy Bridge architecture.


Core i5: The New Middle Class

Intel recently re-released the Core processors in the i3, i5 and i7 processor brands. This was necessary because Intel has released a new architecture, called Sandy Bridge, which brings improved performance when compared to the previous Core i branded products.

While the hardware has changed, Intel's branding scheme remains the same, and Core i5 remains Intel's primary mid-range processor. It is targeted at the heart of the market, with pricing that is not at budget levels but still affordable, and performance that is extremely quick but not the fastest Intel offers.
Intel's high-end processor line is the Core i7. Many users who are looking for a high-performance part end up considering both i5 and i7 products. The i5 is quick, but the i7 promises to be faster - is it really, and if so, does the extra performance justify the cost?


A Unified Socket and Chipset

Perhaps the best news to come out of Intel's new line of i5 and i7 processors is introduction of a single socket for all Sandy Bridge Core i3/i5/i7 processors. This is a state of affairs that may not last forever, as it is rumored that Intel will release a new high-end socket alongside a new chipset and new processors towards the end of 2011.


For now, however, the Sandy Bridge processors all use the LGA 1155 socket. In case you're wondering, this socket is not backwards compatible with previous LGA1156 processors - don't try it unless you like junking your hardware. The new chipsets at P67 and H67, and they're targeted towards performance and mainstream users respectively. The P67 offers processor overclocking support and 16 additional lanes of PCIe bandwidth - these are the primary advantages over H67.
The new, more unified approach to sockets and chipsets certainly makes constructing a system much easier than before. At the moment, you can buy any Sandy Bridge processor and any H67 and P67 motherboard and expect the two to work together.


Intel Turbo Boost

Intel has made Turbo Boost a standard feature on all Core i5 and i7 processors, from the least to most expensive. Intel has also reduced the gap between the maximum turbo boost frequency on different processors. Previously, some of the older Core i7 processors actually had a much less efficient Turbo Boost feature than some newer Core i5s.
All of Intel's current Core i5 and i7 processors offer a boost of between 300 and 400 MHz. The least expensive i5s offer the 300 MHz boost - for example, the Core i5 2300 has a base clock speed of 2.8 GHz and a maximum Turbo Boost speed of 3.1 GHz. The Intel Core i7 2600, on the other hand, offers a base clock speed of 3.4 GHz and a maximum Turbo Boost of 3.8 GHz.
Besides the clock speed difference, Turbo Boost is essentially the same on the i5 and i7 processors.


Difference in Hyper-Threading

Another significant performance difference is how the Core i7 and Core i5 products will be handling hyper-threading. Hyper-threading is a technology used by Intel to simulate more cores than actually exist on the processor. While Core i7 products have all been quad-cores, they appear in Windows as having eight cores. This further improves performance when using programs that make good use of multi-threading.
All Sandy Bridge Core i5 processors have hyper-threading disabled, and all Sandy Bridge Core i7 processors have hyper-threading enabled. This is a major feature difference of Core i5 vs Core i7 processors, and it will give the Core i7 products an advantage over Core i5 processors in some heavily multi-threaded applications. .............................................................................................
...........................................
Endelea usoma Uchambuzi wa kitaalam wa product za intel ccore hapa

Soma hapa kujua Tofauti ya core i3 na core i5
 
Branding is, I'd say, a core to any business.

Wanachokifanya ni hardcore branding ili wauze, hasa ukichukulia kuwa kwa wenzetu kuna makampuni ambayo kwa kutaka utofauti wanaweza ku-contract kampuni kama Intel au Nokia ili wawatengenezee products fulani kwa ajili yao tu. (Inawezekana ikawa ni ile ile ya kwenye consumer market ila kutokana na branding watu wakawehuka)

Pia kuna swala la wapi product hiyo iko intended kuuzwa -- say Asia, Europe, US au MEA. Unaweza kukuta aina fulani ya simu, kwa mfano, inajulikana kwa jina tofauti kwa kila market region.

Ni somo hili kwetu pia, strong brand sells!
 
Kwa hiyo Kati ya hizi tatu Intel core i3, core i5 na core i7 hakuna tofauti yoyote ile? ni biashara tu wanafanya ili waweze kupata pesa nyingi?
Mzizimkavu
sio Kwa intel tu hii ni kwenye vitu vingi mfano kama Nokia. Kuna simu zao Model , design tu ya nje na bei zina ofauti lakini ukichunguza kwa makini features na specs kuna baadhi ya modelzimepewa majin tofauti lakini hazina tofauti ya kitenii ya kusababisha mtu aliwe pesa

Iphone nao walikuja na model ya simu inaitwa 4g. Nadhani kun watu wengine wakinunu hii simu wanadhani ni ile 4g ni teknolojia ya mawasiliano baaaya 3g kama ilivyo 2g,3g,4g. Lakini ukisoma utaona ile 4g ya Iphone ni jina tu haina uhusianao wowote na 4g ya data communication.


gurta said:
Branding is, I'd say, a core to any business.
Wanachokifanya ni hardcore branding ili wauze, hasa ukichukulia kuwa kwa wenzetu kuna makampuni ambayo kwa kutaka utofauti wanaweza ku-contract kampuni kama Intel au Nokia ili wawatengenezee products fulani kwa ajili yao tu. (Inawezekana ikawa ni ile ile ya kwenye consumer market ila kutokana na branding watu wakawehuka)

Pia kuna swala la wapi product hiyo iko intended kuuzwa -- say Asia, Europe, US au MEA. Unaweza kukuta aina fulani ya simu, kwa mfano, inajulikana kwa jina tofauti kwa kila market region.

Ni somo hili kwetu pia, strong brand sells!
Yap mkuuu Gurta uko sahihi
Mambo ya branding ndio nimetaja mfano wa iphone 4g. Nice brand name inawavutia watu lakini je iphone4g ni 4g ya data communication?
 
Hizi Intel Core i3, i5 na i7 ni chipset katika computer ambazo zipo fast katika handling na processing of data ukilinganisha intel pentium, celeron na centrino,,,,
 
Hizi Intel Core i3, i5 na i7 ni chipset katika computer ambazo zipo fast katika handling na processing of data ukilingabisha intel pentium, celeron na centrino,,,,
Hatukatai kuwa hizo Intel Core i3, i5 na i7 ni chipset katika computer zinakwenda Fast tunachotaka kujuwa kunatofauti gani kati ya Intel Core i3, i5 na i7? au ndio Mambo ya Biashara tu? kila Siku badilisha jina kisha uza? itakuja mpya inayoitwa Intel Core i8 na Watu watanunuwa kwa haraka haraka ni wizi wa akili ya kibiashara hakuna tofauti yoyote ile kati ya hizi Intel Core i3, i5 na i7 ni wizi wa akili sana hahahahah wajinga ndio waliwao...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom