Instagram yafikisha watumiaji milioni 400

Instagram yafikisha watumiaji milioni 400

paulchazzy

Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
68
Reaction score
5
Katika Mitandao ya Kijamii iliyobeba umaarufu mkubwa Duniani, upo mtandao wa-Facebook-ilioanzishwa February 2004,-Twitter-ilioanzishwa-March 2006 hiyo ilikuwa miaka miwili mbele baada ya-Facebook lakini mtandao wa-Instagram-umechukua umaarufu mkubwa sana sasahivi kwa sababu watu wengi wanapendelea kushare picha na watu wao,

‘Insta' ilianzishwa mwaka 2010 na kuanza kupata umaarufu mdogomdogo.!!Ripoti mpya imetoka na imethibitishwa na wamiliki wa Instagram-wenyewe-kuwa hivi sasa inawatumiaji MILIONI 400-mpaka kufikia-September 22 2015, hiyo ni ndani ya miaka mitano tangu Mtandao huo umeanzishwa.
Kwa picha na maelezo zaidi
 
Kuwa unasoma kwanza hii ni news alert.
humu kwa jamii forum kuna watu tofauti tofauti kuna ambao wanapenda kusoma vitu kama hivi na wao wataiview sijakulazimisha kuisoma kaka BUSAMUDA naomba tuwe wastaarabu humu jamii forums sio kucomment tu.
Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
Inakusaidia nini hii, au wanatoa mikopo.

Kuwa unasoma kwanza hii ni news alert.
humu kwa jamii forum kuna watu tofauti tofauti kuna ambao wanapenda kusoma vitu kama hivi na wao wataiview sijakulazimisha kuisoma kaka BUSAMUDA naomba tuwe wastaarabu humu jamii forums sio kucomment tu.
Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
Lini JF yetu itatangazwa kama hivo?
siku unaamka unacheki gazeti limeandika "JF the best forum in africa reached 200M users: Source BBC Online Magazine"

Paw Moderator you guys mna ndoto na itatimia soon kama members watatoa heading zenye kiingereza ndani yake
 
Last edited by a moderator:
Lini JF yetu itatangazwa kama hivo?
siku unaamka unacheki gazeti limeandika "JF the best forum in africa reached 200M users: Source BBC Online Magazine"

Paw Moderator you guys mna ndoto na itatimia soon kama members watatoa heading zenye kiingereza ndani yake

Kweli nimeipenda hii.
nadhani pia kupost kwa kingereza itasaidia watu kutoka njee wasioelewa kiswahili wapate kushiriki katika posts zitakazokuwa posted.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom