Instagram ina tatizo gani comment zingine hazionekani?

Instagram ina tatizo gani comment zingine hazionekani?

Arsenal Gunner

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,891
Reaction score
17,696
Unakuta mfano kwenye page ya mange kimambi comment zinaonekana zipo elfu 2 kabla hujazifungua kusoma lakini ukifungua kusoma hazifiki hata comment 30 tatizo ni Nini huu mtandao hao wamelipwa ili kufanya hivi tanzania
 
Simu yako ina filter,hii ipo kwenye mifumo ya instagram na Facebook.fungua kwenye comment utakuta neno most relevant,bonyeza pale weka view all comments au weka Newest comment
Hamna hiyo sehemu mkuu na watu wengi wanalamlika comment hazionekani
 
Mimi kwangu zinasoma mwisho 20 tu hata kama zipo elf 2
 
Wamelipa billions kwa jili ya izo pages tu embu cheki kwa mtu mkubwa wa nje uliemfolow kama trump etc
 
Back
Top Bottom