THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
- Thread starter
-
- #21
Mkuu nadhani ulimaanisha 2005!
puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuummmmmmmmmmmmmbbbbbbbbbbbaaaaaaaaaaaffffffffffffffffffffpepoleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
mbona tuliambiwa kwamba wezee na wananchi wote wa mtwara wamekubali gesi ipelekwe dar?
mbona walishalainishwa siku nyingi, Lowasa anajua vya kuchinja tu...................[/QUOT]
kulainishwa?
Ngoma hii si ya kitoto...
Gas haitoki ,jamaa wanafikiri ni mzaha ila waache watie ulimi kuonja mafuta ya moto .
awa jamaa zangu wa ccm,hila na uongo wanaousema mara zote unawarudi wenyewe kwa nini wanashindwa kujirekebisha?usipende kuamin kila unachoambiwa,especially kwa watawala ambao wana hulka ya ufisadi na ubinafsi...
Ni hatari sana hao jamaa,tena weka mbali na tembo,ila huku gesi haitoki hadi kieleweke...
awa jamaa zangu wa ccm,hila na uongo wanaousema mara zote unawarudi wenyewe kwa nini wanashindwa kujirekebisha?
haitoki kweli...
Ivi mkuu una ID ngapi? Make naona hii ni kwa ajili ya gesi tu.
Safi sana,inabidi mashemeji zangu mkomae sana na hakika nipo nyuma yenu
Ivi mkuu una ID ngapi? Make naona hii ni kwa ajili ya gesi tu.
waongezee kuwa na ruangwa wameonesha cheche na huu ni mwendelezo hakuna kudanganywa na mtu yeyote kuhusu hili na tusikubali gesi na barabara kiwe ni kigezo cha mtu kuingia madarakani hizo zimeshapitwa na wakati big up ma ppo of south...Pamoja saana Mkuu Mwili nyumba
hao jamaa wanadhani kama ni masihara flan au pia wanapohis watu wametulia basi wanadhani wamekubali matokeo,ila sisi tutawaonesha,wao si ni serikali?
Tutairudisha ile vita ya maji maji upya,nadhan yanayotokea liwale huko kwa sasa wanayaskia,watatuelewa tuuh,,
Kwani wewe unavyong'ang'ania na huyo mwenyekiti wako wa chama chenu gesi ikazalishe umeme bagamoyo kwani kuna ubaya gani ukizalishwa mtwara na umeme usambazwe hadi kenya?unajua usije na post zako ukadhani watu hawajui kilicho nyuma ya pazia,km kweli mlikuwa na nia mzuri na mtwara kwa nini usipanue bandari ya mtwara ambayo toka awali ina kina kirefu kuliko ya dar,tanga na ukaenda kuiboresha ya bagamoyo? Sasa wakati wa kupumbaza watu umepita na hata km watu wa kusini mmewanyima elimu ila macho wanayo na picha wanaona,kifupi pale mtwara ht waende na mabomu ya sumu wataua wote na ndipo gesi ipelekwe bagamoyo vinginevyo patawaka moto.
Huyu ni mkuu wa wanafiki tanzania kama angekuwa mzee wa maamuzi magumu mbona hakubomoa magorofa 100 ya Kariakoo na posta kwa kutumia ripoti ya tume aliyoiunda yeye 2006 na hadi anaondoka 2008 miaka miwili baadaye hata moja halijabomolewa leo wapambe nuksi wake wanataka Pinda awajibishwe kwa kutoimpliment ripoti ya tume ya Lowasa wakati mwenye tume aliikalia kwa miaka miwili kabla ya kufurushwa, wanafiki wakubwa. Hakuna malaika anaweza kuishi kwa starehe katikati ya mashetani CCM Lowasa ni ccm nae shetani mkubwa kabisaHizo ni chuki na woga,Lowassa sasa hivi hufuatwa, alikutana na wazee waliyomfuata na Kama Kawaida yake aliwasikiliza na kuondoka.Huo ni uongo,huyu ndiyo mzee wa maamuzi magumu